Kila kitu kina utaratibu wake, mifuko ipo na matumizi yana utaratibu wake.
Kuna mifuko mingine mingi tu ukiacha hiyo ya kusomesha watoto.
Mbunge kutoa pesa mfukoni mwake na kulipia ada watoto sioni kama kuna ubaya. Anaweza kuwa ni mbunge wa mahala fulani lakini hajapewa fungu litakalosaidia mambo ya kielimu kwa kipindi hicho au fungu limechelewa, inawezekana watoto wamemlilia shida hvyo kwa huruma yake anatoa pesa mfukoni. Kuna mbunge flani wa singida alikuwa anasaidia sana watoto kwenye mambo ya shule tena kwa pesa yake binafsi.
Mungu awazidishie wabunge wote wa namna hyo.