Wabunge mnatukera, ukishauriwa , shaurika!

Wabunge mnatukera, ukishauriwa , shaurika!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Nimesikiliza jana michango ya wabunge kwa mara nyingine kuhusu suala la Bandari.
Wabunge huwa wanafikiri kwa vile wao wana kipaza sauti, basi wana akii sana, siyo hivyo.

Wabunge waeelwe kuwa wanawawakilsha wananchi kule bungeni, na wananchi ndio waajiri wao.
Na angalizo tu ni kwamba wabunge wetu waelewe kuwa ushauri toka kwa wananchi ni kwa nia njema ya Taifa hili.
Hakuna asiyependa maendeleo, na kila mtu anyetoa ushauri, lazima ushauri usikilizwe na upimwe kulingana na mazingira yake.

Suala la DPW yameongelewa mengi sana, lakini nashangaa wabunge wasio na akili nadiriki kusema wao wanafikiri ni kama pata potea, alomradi wao wamechukua posho.

Mimi binafsi wabunge wanao mshambulia Prof mama Tibaijuka nawaona ni kama mabumbumbu katika mambo mengi.

Badala ya kuchukua udhaifu wa mkataba na kushaurinamna ya kuurekebisha wao wanafanya personal attack kwa Profesa Tibaijuka.
Ukweli lazima uheshimiwe na ukweli hauna chama.

Wabunge mashaurike msiwe kama ma dinasour waliokufa kwa kukosa maarifa ya kubadilika na wakati.
 
Nimesikiliza jana michango ya wabunge kwa mara nyingine kuhusu suala la Bandari.
Wabunge huwa wanafikiri kwa vile wao wana kipaza sauti, basi wana akii sana, siyo hivyo.

Wabunge waeelwe kuwa wanawawakilsha wananchi kule bungeni, na wananchi ndio waajiri wao.
Na angalizo tu ni kwamba wabunge wetu waelewe kuwa ushauri toka kwa wananchi ni kwa nia njema ya Taifa hili.
Hakuna asiyependa maendeleo, na kila mtu anyetoa ushauri, lazima ushauri usikilizwe na upimwe kulingana na mazingira yake.

Suala la DPW yameongelewa mengi sana, lakini nashangaa wabunge wasio na akili nadiriki kusema wao wanafikiri ni kama pata potea, alomradi wao wamechukua posho.

Mimi binafsi wabunge wanao mshambulia Prof mama Tibaijuka nawaona ni kama mabumbumbu katika mambo mengi.

Badala ya kuchukua udhaifu wa mkataba na kushaurinamna ya kuurekebisha wao wanafanya personal attack kwa Profesa Tibaijuka.
Ukweli lazima uheshimiwe na ukweli hauna chama.

Wabunge mashaurike msiwe kama ma dinasour waliokufa kwa kukosa maarifa ya kubadilika na wakati.
Hswaaaa!
Wapashe!
 
Hawa jamaa wapo kama bendera fuata upepo hawana msimamo na kile Wanachokisimamia
Hawa wabunge kwa kweli hawana akili.
Mama Tibaijuka kauchambua mkataba kisomi, hawa kina Jerry Slaa wachumia tumbo, no value added.
 
Wote pamoja na spika wao ni MAFISADI wakubwa na mambumbumbu
Kwa kweli wabunge na Bunge wametusikitisha sana kwa kutotumia akili katika suala hili la Badari na DPW.
Maana yake pale wapo tu hawana akili yoyote ya kujitegemea.
 
Siasa ndivyo zilivyo...
Wengi pamoja na mimi tulimsapoti Samia, kwa hatu za ujasiri kuondoa siasa za ukakasi za mwendazake.

Lakini huu ujasiri wa mikataba kama ya DPW hapana.
Na wabunge wetu wametuangusha sana kw kukosa ujasiri wa kimsingi hata kuchambua mkataba na kuona linalolifaa nchi.
Tuna wzbunge mbumbumbu wa ndiyoooooo....!
 
Wengi pamoja na mimi tulimsapoti Samia, kwa hatu za ujasiri kuondoa siasa za ukakasi za mwendazake.

Lakini huu ujasiri wa mikataba kama ya DPW hapana.
Na wabunge wetu wametuangusha sana kw kukosa ujasiri wa kimsingi hata kuchambua mkataba na kuona linalolifaa nchi.
Tuna wzbunge mbumbumbu wa ndiyoooooo....!
Ndugu Jidu La Mabambasi, rushwa hupofusha fikra..

Hao akili na ufahamu wao, fikra zao, hekima yao na intelligence yao kwa ujumla imeshaathiriwa na mdudu rushwa

Nothing good will ever come from them..!
!!
 
Sahivi wamevimbilwa na umbwa umbwa [emoji1]

Ova
 
Eti Jerry Silaa naye kasoma Sheria Open University! Wajinga sana akiwemo na Spika wao Tulia!

Wao hawaoni hatari ya Nchi kujifunga kwenye mkataba wa kip.umbavu kama huo!

Hawa Wabunge wajinga waambiwe msingi wa HGA ni IGA!
IGA inasema mwisho wa mkataba ni pale shughuli za bandari zitakapokoma!
Sasa HGA hata ikisema mkataba ni miaka 30 , ukiisha inabidi mhaulishe ( renew) mkataba maana shughuli bado zinaendelea!

Tatizo Wabunge wengi wa Chama changu cha CCM mnafikiri kwa kutumia matumbo yenu badala ya vichwa vyenu!
 
Yaani kwa mkataba ule wa kishenzi wa bandari, halafu unaambiwa kuna watu waliupitisha kama ulivyo! Lazima hao watu wawe ni punguani kabisa.

Kwa namna mkataba ule ulivyo, hata mtoto wa darasa la 4 ukimwelewesha, hawezi kuukubali.
 
Ndugu Jidu La Mabambasi, rushwa hupofusha fikra..

Hao akili na ufahamu wao, fikra zao, hekima yao na intelligence yao kwa ujumla imeshaathiriwa na mdudu rushwa

Nothing good will ever come from them..!
!!
Kwa hawa wabunge, naona rushwa waloyopokea haikuishia kupofusha tu, imeua kabisa akili zao. Wamebakiwa na vichwa visivyo na chochote ndani.
 
Eti Jerry Silaa naye kasoma Sheria Open University! Wajinga sana akiwemo na Spika wao Tulia!

Wao hawaoni hatari ya Nchi kujifunga kwenye mkataba wa kip.umbavu kama huo!

Hawa Wabunge wajinga waambiwe msingi wa HGA ni IGA!
IGA inasema mwisho wa mkataba ni pale shughuli za bandari zitakapokoma!
Sasa HGA hata ikisema mkataba ni miaka 30 , ukiisha inabidi mhaulishe ( renew) mkataba maana shughuli bado zinaendelea!

Tatizo Wabunge wengi wa Chama changu cha CCM mnafikiri kwa kutumia matumbo yenu badala ya vichwa vyenu!
Jerry Slaa ni mpuuzi mwingine ambaye usomi wake hsuna tofauti na Msukuma wa darasa la saba.
 
Hamna bunge hapo...hasara tu hiyo.
Kwa jinsi suala la Bandari lilivyoshughulikiwa bunge limeonyesha udhaifu mkubwa.
Hawakuuchambua mkataba wa DPW, kabla ya kuupitisha, kazi waliyotazamiwa kufanya.
 
Back
Top Bottom