Wabunge na Bunge lishitakiwe kwa kutosoma na kupitisha mikataba inayowaibia waTanzania

Wabunge na Bunge lishitakiwe kwa kutosoma na kupitisha mikataba inayowaibia waTanzania

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839


Haya ni maoni ya mwandishi Ndg Mgamba.

Bunge na wabunge washitakiwe na wananchi kwa kupitisha mikataba inayowaibia wananchi mali nyingi za madini na biashara.

Actually ana sema ni UHAINI kupitisha mikataba inayotuibia , bila kuisoma na kutetea maslahi ya nchi.

Mimi naunga mkono msimamo huu.

TLS hapa tusaidieni kuokoa nchi kuibiwa.
 
... mkiambiwa huko chamani yamejaa majambazi sijui kwanini hamuelewi! Na ndio hao wameshikilia sehemu mbalimbali za maamuzi kuanzia halmashauri huko na maeneo mengine; ni mnyororo fulani mrefu sana.
 
Mods naomba sahihisho kichwa cha mada, ni WABUNGE
 
... mkiambiwa huko chamani yamejaa majambazi sijui kwanini hamuelewi! Na ndio hao wameshikilia sehemu mbalimbali za maamuzi kuanzia halmashauri huko na maeneo mengine; ni mnyororo fulani mrefu sana.
Sawa, sasa tuchukue hatua gani kwa bunge lisiloweza kuisimamia serikali?
 
Kama wako bungeni tu kwa wizi wa kura na hawajashitakiwa, ndio watashitakiwa kwa kupitisha mikataba ya wizi ambayo wananchi hawajui hata imeandikwa nini ndani?
 
Sawa, sasa tuchukue hatua gani kwa bunge lisiloweza kuisimamia serikali?
1. KATIBA 2. KATIBA 3. KATIBA. Katiba yenye kudhibiti na kuiwajibisha mihimili yote not only Bunge. Imagine watu wamejitungia sheria ya kutoshtakiwa unawashtakije labda bila kuwa na tool mahsusi ya kufanya hivyo? Leo hii Spika na Naibu Spika hawashtakiki kokote!
 
1. KATIBA 2. KATIBA 3. KATIBA. Katiba yenye kudhibiti na kuiwajibisha mihimili yote not only Bunge. Imagine watu wamejitungia sheria ya kutoshtakiwa unawashtakije labda bila kuwa na tool mahsusi ya kufanya hivyo? Leo hii Spika na Naibu Spika hawashtakiki kokote!
Kuna mamlaka zilizo nje hata ya Bunge.
Kwanini tusiende Mahakama ya Afrika Mashariki au ya Afrika.
Impact lazima itakuweo.
 
Kuna mamlaka zilizo nje hata ya Bunge.
Kwanini tusiende Mahakama ya Afrika Mashariki au ya Afrika.
Impact lazima itakuweo.
... Mkuu you are among the very senior members humu JF na uelewa wako wa mambo kwa hoja zako humu JF sio wa kutiliwa shaka hata kidogo. Ni mangapi yameamuliwa na mahakama ulizotaja lakini yakaishia kupuuzwa? Zipo kesi kadhaa za aina hiyo.
 
Back
Top Bottom