Uchaguzi 2020 Wabunge na madiwani waliopewa kadi leo za ACT-Wazalendo walishajitenga siku nyingi na chama

Uchaguzi 2020 Wabunge na madiwani waliopewa kadi leo za ACT-Wazalendo walishajitenga siku nyingi na chama

CUF Habari

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
239
Reaction score
234
Screenshot_20200620-171943.png


"Wabunge hawa walishaamua kujitenga na CUF- Chama cha Wananchi na hawajawahi kutoa Ushirikiano kwa CUF tangu muda huo na CUF iliamua kutowafukuza ili kudhibiti matumizi mabaya ya Kodi za Wananchi kwa ajili ya Chaguzi ndogo. CUF ni Chama cha Wananchi, kinatanguliza Maslahi ya Wananchi."

Eng. Mohamed Ngulangwa
Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma
CUF-Chama Cha Wananchi
 
Mngewafukuza halafu mkose ruzuku??

View attachment 1484343"Wabunge hawa walishaamua kujitenga na CUF- Chama cha Wananchi na hawajawahi kutoa Ushirikiano kwa CUF tangu muda huo na CUF iliamua kutowafukuza ili kudhibiti matumizi mabaya ya Kodi za Wananchi kwa ajili ya Chaguzi ndogo. CUF ni Chama cha Wananchi, kinatanguliza Maslahi ya Wananchi."

Eng. Mohamed Ngulangwa
Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma
CUF-Chama Cha Wananchi
 
Msihuzunike CUF, jiandaeni kumpokea chadema anakuja huko huko mlipo, mtafarijiana.
 
Mmekubali CUF kuuliwa na tamaa ya mtu mmoja aliyeamua kwa ridhaa yake kujiuzulu, leo CUF inatofauti gani na TLP ya Mrema
 
View attachment 1484343

"Wabunge hawa walishaamua kujitenga na CUF- Chama cha Wananchi na hawajawahi kutoa Ushirikiano kwa CUF tangu muda huo na CUF iliamua kutowafukuza ili kudhibiti matumizi mabaya ya Kodi za Wananchi kwa ajili ya Chaguzi ndogo. CUF ni Chama cha Wananchi, kinatanguliza Maslahi ya Wananchi."

Eng. Mohamed Ngulangwa
Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma
CUF-Chama Cha Wananchi
Basi sawa🧐
 
Back
Top Bottom