marveljt
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 1,503
- 1,479
Wiki iliyopita wabunge wote pamoja na mawaziri mliungana pamoja ili makonda na mwenzake waje bungeni. Wengi tulifurahishwa kwa hatua ya mshikamano huo.
Kama kweli mnania njema na taifa na siyo kwa maslahi yenu wenyewe na familia,ndugu na marafiki ,onyesheni umoja huo huo katika ile katiba iliyochakachuliwa na kuwekwa kapuni.
Wengine wataweza kusema siyo muda wake au haiko kwenye ratiba. Kuna mambo mengi yamefanyika/yanafanyika na hayakuwepo kwenye ratiba na yamefanyika. Ifike wakati tuangalie tuendako. Haya matamko na maamuzi yanayotolewa yaweze kudhibitiwa kwa mujibu wa hiyo katiba mpya. Leo hii jeuri inapatikana kutokana na hii katiba sababu anajua inamlinda.
Kama kweli mnania njema na taifa na siyo kwa maslahi yenu wenyewe na familia,ndugu na marafiki ,onyesheni umoja huo huo katika ile katiba iliyochakachuliwa na kuwekwa kapuni.
Wengine wataweza kusema siyo muda wake au haiko kwenye ratiba. Kuna mambo mengi yamefanyika/yanafanyika na hayakuwepo kwenye ratiba na yamefanyika. Ifike wakati tuangalie tuendako. Haya matamko na maamuzi yanayotolewa yaweze kudhibitiwa kwa mujibu wa hiyo katiba mpya. Leo hii jeuri inapatikana kutokana na hii katiba sababu anajua inamlinda.