Wabunge tuondoleeni Darasa la Saba na Kidato cha Nne Bungeni

Wabunge tuondoleeni Darasa la Saba na Kidato cha Nne Bungeni

Janjawid

Member
Joined
Jul 15, 2020
Posts
93
Reaction score
185
Kwa tathimini ya haraka Ubunge umekuwa jambo jepesi sana,niwaombe wabunge watakaopita hasa Ma prof na ma Dr wakakomae bungeni ili wabadilishe vifungu katika katiba kuhusu eneo la uwakilishi iwe kama ifuatavyo:

1. Elimu nikuanzia kidato cha 6 na kuendelea
2. Ubunge uwe na kikomo vipindi vinne tu ( 20)
3. Mbunge akisaapishwa sio Mali ya chama bali ni Mali ya wananchi wore
4. Wabunge wawe na wasaidizi angalau wawili wabobezi ktk taaluma mbalimbali ili kuwa na uwezo wakutoa michango muhimu kwa Taifa
5. Vikao vya Bunge vile mojakwa moja
6. Posho yakukaa vikao ipunguzwe
 
Ubunge.ni uwakilishi wa wananchi hao maprof na madaktari wanatakiwa wabaki vyuoni wapike watu tunao mfano wa watu wengi wenye elimu hiyo lakini wamekuwa watu wa hovyo ningeweza kuwataja kwa majina na mifano ila sitaki kuleta mgogoro kati ya jamiiforums na serikali
 
Darasa la saba ndiyo wenye hoja zenye kujenge taifa hili kuliko hata hao madokta na maprofesa.

Prof. Kabudi kafanya nn cha maana?
Dr. Mpango kafanya nn chenye tija
Prof. Ndalichako ana lipi la kujivunia bungeni?
Dr. Magufuli ana lipi la kukumbukwa bungeni?

Hebu tuziacheni stress za vitabuni huko mitaani. Aliyekutuma usome Sana halafu ukapishana na fursa ni nani?
 
Acha ujinga ww, hii mikataba yote ya kipuuzi ndani ya nchi hii imepitishwa na hao wasomi. Ni vyema kuwa na wasomi bungeni, japo kwenye tabia haijalishi ni msomi au la.
 
Ubunge.ni uwakilishi wa wananchi hao maprof na madaktari wanatakiwa wabaki vyuoni wapike watu tunao mfano wa watu wengi wenye elimu hiyo lakini wamekuwa watu wa hovyo ningeweza kuwataja kwa majina na mifano ila sitaki kuleta mgogoro kati ya jamiiforums na serikali
Non-sense!
Wewe una kiwango gani cha Elimu na umeajiriwa wapi? Kwa akili yako duni, do you think all Graduates to the level of Doctors and Professors can be only absorbed by Tanzania Universities?
 
Non-sense!
Wewe una kiwango gani cha Elimu na umeajiriwa wapi? Kwa akili yako duni, do you think all Graduates to the level of Doctors and Professors can be only absorbed by Tanzania Universities?
Kiwango changu cha elimu kitakusaidia nini
 
Eti dereva awe na cheti cha form 4 lakini Mbunge anayefanyakazi ya kuhitaji ufahamu mkubwa wa mambo anatakiwa ajue kusoma na kiandika tu [emoji108][emoji108]
Nyakati hizi za analogy.

Are they serious?!
 
Back
Top Bottom