wabunge UDSM wapitisha Mgomo

wabunge UDSM wapitisha Mgomo

TwendeSasa

Senior Member
Joined
May 24, 2008
Posts
128
Reaction score
116
Hatimaye bunge la wanafunzi chuo kikuu cha dar es salam limepitisha mgomo usiokuwa na kikomo kuanzia Jumatatu

Habari zilizotapakaa hapa chuo ni kwamba mgomo huo umekubaliwa na wabunge walio wengi baada ya wabunlge kudai wanafunzi walio wengi wanataka kugoma

Jana wanafunzi waligawanyika katika makundi mawili ambao wengine walitaka kugoma jana na wemgine ambao wengi wanadai wahakuwa na taaria ambao wengi wao walikuwa wanafunzi Coet

katika mkutano wa SLAB ( sehemu ambao wahandisi wa coet hukutana) wanafunzi hao waliwalalamikia viongozi wao kutowapa taarifa hali iliyosababishwa mwenzao watatu kuumizwa baada ya kuoneka hawasapot mgomo
Baadhi ya wanafunzi walioongea kwenye slab hiyo walionyesha kuchukizwa na hali ya viongozi wao kufanya mambo bila kutoa taarifa
lengo La mgomo ni kuishinikiza Serikali itoe makundi katikia mkopo wanawapatia wanafunzi hao na iwakopeshe asilimia mia moja
 
Wana haki kabisa kugoma.
Kama mafisadi tunaona wanapeta na wanabembelezwa kwa nini wao wasigome?
Gomeni ili vizazi vijavyo vinufaike kwa kupigania haki.
 
Wana haki kabisa kugoma.
Kama mafisadi tunaona wanapeta na wanabembelezwa kwa nini wao wasigome?
Gomeni ili vizazi vijavyo vinufaike kwa kupigania haki.

Mkuu Fidel, na huo muziki wako mkubwa nadhani ujumbe umewafikia kwa uzuri kabisa
 
I feel for these students, the conditions as described by some of our members are horrid.
Isn't there a better way to raise awareness than a strike? What about demonstrations? I am concerned that at the end of the day they will end up holding the blade while the bigwigs will have the handle of the knife.

On top of that there is evidence of an unhealthy degree of disorganization and coercion on the part of those organizing the strike.This is not only unfair to those wanting no part in the strike, it is also bullyish and undemocratic.
 
Jana wanafunzi waligawanyika katika makundi mawili ambao wengine walitaka kugoma jana na wemgine ambao wengi wanadai wahakuwa na taaria ambao wengi wao walikuwa wanafunzi Coet

katika mkutano wa SLAB ( sehemu ambao wahandisi wa coet hukutana) wanafunzi hao waliwalalamikia viongozi wao kutowapa taarifa hali iliyosababishwa mwenzao watatu kuumizwa baada ya kuoneka hawasapot mgomo

Inavyoelekea CoET wanaplay big role katika kufanikisha migomo! Ina maana hiyo jana mgomo ulishindikana kwa kuwa wao walikosa taarifa? Wengine je, peke yao hawawezi?
 
Diplomacy in Tanzania is no Option!
 
Kwa muonekano wa haraka,
Hawa watu wanatumia muda mrefu zaidi kugoma kuliko kwenye masomo.
Taifa,tunaandaa wasomi wa aina gani?
 
Imeshadhihirika kuwa migomo hiyo siyo utatui wamatatizo ya wanafunzi, je ni kwanini wanafunzi hawa hawalioni hili. Kama wasomi kwanini hawabuni solution ya kudumu .Na kama wao wanafunzi hawawezi kufanya hivyo ni kwanini wakufunzi wao wasiwasaidie kubuni solution ya kudumu. Nitawaambia kitu kimoja tu wanafunzi wa UDSM na vyuo vingine Tanzania: msidhani wanafunzi wa vyuo vya Ulaya na vingine Tanzania kama Tumaini ambao hawagomigomi wanaridhika na kila linalofanyika nchini, lakini wanatambua kuwa kugoma kusoma ni kudhirisha kutoheshimu thamani ya elimu.Kingiine ninachoshindwa kuelewa ni kwamba nyinyi mnagoma kusoma huku mkidai kusomeshwa, sasa nyinyi kweli madai yenu ni kusomeshwa au jambo jingine. Ushauri kwa uongozi wa chuo ni huu: hicho chuo msikiendeshe kisiasa. Jiulizeni swali moja,je ni nini kitawatokea wanafunzi wa Tanzania wanaosoma oxford Uingereza iwapo leo hii watagoma kuingia darasani kwa sababu hawajapewa mikopo na serikali yao toka Tanzania? Hicho kiendesheni kama taasisi inayojitegemea na ipeni taaluma heshima yake inayostahili, yeyote anayeidhalilisha taaluma ni adui wa mankind na mshughulikieni ipasavyo bila kukumbatia siasa.
 
Kunji mbona limeanza mapema sana, au kuna watu wamedisco baada ya supplementary Exam results?.
 
Mgomo umeshaanza leo UDSM!!!!!!!! KUNA YEYOTE MWENYE MAELEZO ZAIDI
 
Back
Top Bottom