Uchaguzi 2020 Wabunge wa CCM mpya ni mkakati maalum wa kubadili katiba, Paul Makonda na Alexander Mnyeti ni kishindo kikuu

We unadhani swala la maamuzi ya fomu yangekuwa yake peke yake ungeona uongozi wote wa zamani na leo kwenye jukwaa moja wakicheka mpaka kukenua meno yote yaliyobaki.

Hayo maneno mengine na Magu as Magu without a script expect anything lakini aindoi dhamira yake.
 
Makonda hawezi kushinda Kigamboni...hana hata X-mass kumi mjini nani anamjua
 
yaa, it might be
 
Inaweza kuwa hivyo au isiwe. Inawezekana kina Makonda na Gwajima wanataka uwaziri, mpaka uwaziri Mkuu

Paul Makonda huwa anaamini siku moja atakuwa Rais wa nchi hii.
Na hapo ndipo akili za kitanganyika zitajulikana zilivyo
 
Cha msingi mi naona wananchi tuamke tupeleke wabunge wa upinzani wakutosha bungeni, vinginevyo tutakuja kujuta huko mbele. Mungu epusha haya yasitokee
[/QUOTE Wapinzani wapi, hao 2015 tuliowapa kura wakaunga juhudi, bora kuchagua ccm tu.
 
Hatuwezi kuruhusu watu wachache wachezee katiba yetu!! Haiwezekani.
 
Magufuli hataongeza hata dakika moja. Akithubutu lazima watanzania tukatae.
Ata akifanya hivyo hamna cha kufanya maana anayo kinga kubwa na sasa wameongezeka spika,Jaji mkuu na Waziri Mkuu. Pole yenu.
 
Ndipo pale watakaposhangazwa na nguvu ya umma mithili ya ile Arab Spring. Wacha wajiaminishe hivyo halafu watashangaa yajayo, hakuna jela au risasi zitatosha kuuzima moto utakaowaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…