Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Bishop Gwajima, Mpina wamehudhuria?Hii nchi kuna mambo sensitive ambayo waliopewa dhamana wameamua wasiyasimamie. Leo kuna mjadala wa kukodishwa bandari, jambo nyeti kama hili lakini wabunge wa CCM awapo bungeni wapo mtaani wanapiga kamnyweso wakiangalia bunge kwenye TV. This is not sawa kwa kweli, natambua wengi wamekwepa kuwa sehemu ya mjadala huu wakiogopa kuandamwa kwa kuipinga serikali; lakini tujiulize walipoimba ubunge awakujua wanakwenda kujadili mambo gani? Bunge viti vipo empty as if hakuna jambo la maana linaendelea. Kulikuwa na haja gani ya kupeleka jambo hili kwenye bunge lisilo na wabunge?
Sasa CDM wamekukirihisha kipi na hawapo bungeni?Au ndiyo ile ukionewa sehemu hata ukimkuta mbwa na wewe unampiga ili kutuliza uchungu wako?Chadema Leo kama ningekuwa mwanasiasa wenu ningechoma moto kuanzia kadi yenu Hadi magunia yenu ya kupitia mipunga huku Rukwa.
Mwanazuoni Pr Alexandre Mkumbo huyu mtu ana akili kubwa sana.amechambua vizuri sana
Pweintikwa nini hawakwenda? Huko siyo kuwajibika kwani walitakiwa washiriki na kukubali au kukataa hoja hizo
Kwani hao wabunge hawataki maendeleooHii nchi kuna mambo sensitive ambayo waliopewa dhamana wameamua wasiyasimamie. Leo kuna mjadala wa kukodishwa bandari, jambo nyeti kama hili lakini wabunge wa CCM awapo bungeni wapo mtaani wanapiga kamnyweso wakiangalia bunge kwenye TV.
This is not sawa kwa kweli, natambua wengi wamekwepa kuwa sehemu ya mjadala huu wakiogopa kuandamwa kwa kuipinga serikali; lakini tujiulize walipoimba ubunge awakujua wanakwenda kujadili mambo gani?
Bunge viti vipo empty as if hakuna jambo la maana linaendelea. Kulikuwa na haja gani ya kupeleka jambo hili kwenye bunge lisilo na wabunge?
Tupiamo na tupicha picha tujionee,isije Kuwa mambo yanaendelea closed door/behind the scene[emoji23]
Kuna aina nyingi au aina kwa aina au tofautitifauti za kuonesha hautaki jambo.Hiyo ni mojawapo.Achilia mbali kufiwa,ugonjwa au kufukuzwa bungeni.kwa nini hawakwenda? Huko siyo kuwajibika kwani walitakiwa washiriki na kukubali au kukataa hoja hizo
Hata hata Mimi na Mpwayungu Village hayupo bungeniHii nchi kuna mambo sensitive ambayo waliopewa dhamana wameamua wasiyasimamie. Leo kuna mjadala wa kukodishwa bandari, jambo nyeti kama hili lakini wabunge wa CCM awapo bungeni wapo mtaani wanapiga kamnyweso wakiangalia bunge kwenye TV.
This is not sawa kwa kweli, natambua wengi wamekwepa kuwa sehemu ya mjadala huu wakiogopa kuandamwa kwa kuipinga serikali; lakini tujiulize walipoimba ubunge awakujua wanakwenda kujadili mambo gani?
Bunge viti vipo empty as if hakuna jambo la maana linaendelea. Kulikuwa na haja gani ya kupeleka jambo hili kwenye bunge lisilo na wabunge?
Mkuu hata wangeenda si bado ungepita?Pweinti
Kutokwenda ni uwoga
Alex Mnyeti yupo bungeni au na Yeye anatetema tu hapo Chako ni Chako Pub?
Kuna mmoja alikuwa anachezea simu yupo instargram.
Aahaaaaa
Sasa kama ana nafasi ya kwenda kupinga huu udhalimu akaamua kuepuka na kukaa kimya anakuaje mzalendo?Ni bora kuuepuka laana,kuliko kuitafuta laana.Nikimjua aliyekataa Kuwa sehemu ya jambo hili atakuwa rafiki,ndugu na mzalendo mwenzetu wa taifa hili🤔