Elections 2010 Wabunge wa ccm watapoteza viti kwa 70%

Elections 2010 Wabunge wa ccm watapoteza viti kwa 70%

BABA JUICE

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2010
Posts
426
Reaction score
54
Kwa uchunguzi wa kina inaonekana wananchi hawana hamu na wagombea ubunge wa ccm,kwani wengi wao wanonekana kujali maslai yao,kitu ambacho wananchi hawana huwakika nacho ni mgombea uraisi,kikweke kapoteza dira na ile sera ya ccm ya maisha bora kwa kila mtanzania.sera za ccm za sasa hivi ni kama matangazo ya internet jaribu kuchunguza alafu ujipe jibu.ccm hawajui uchungu wa kutawaliwa embu mwaka huu tuwaonyeshe labda itakuwa chachu ya maendeleo....kama ww umezoea kutoa amri siku ukipewa ww utajisikiaje? Hata na katiba yetu tunaweza badilisha.....kwani katiba yetu inakupa haki kwa mkono huu na inakunyanganya kwa mkono mwingine.....mabadiliko kwa maendeleo.
 
Wenyewe wameshakiri, sasa wanajiandaa kwa hujuma, lakini Watanganyika si Wadanganyika tena!
 
Back
Top Bottom