Wabunge wa Chadema,Cuf na Nccr waungana,leo kukutana ktk ukumbi wa KUB bungeni!

Wabunge wa Chadema,Cuf na Nccr waungana,leo kukutana ktk ukumbi wa KUB bungeni!

Joined
Feb 20, 2014
Posts
87
Reaction score
35
Ni wakati wa kuahirisha semina kwa wabunge wa Bunge maalum la Katiba, mwenyekiti wa muda wa bunge hilo mh,Kificho alitoa tangazo linalowataka Viongozi na wabunge wa vyama vya Chadema,Cuf na Nccr kukutana usiku wa leo ktk ukumbi wa Kiongozi wa Upinzani Bungeni.

Mh Kificho alitoa kauli akisema kwamba yeye kaambiwa tu kutoa tangazo ila hajaambiwa kwamba nini sababu ya kukutana kwao.

Source,,TBC Live kutoka Dodoma.
 
Wanaenda kupanga mandamano wanadhani katiba hii ni ya kwao kumbe ni katiba ya watanzania wote.
 
Mbowe akili zake zinamtosha mwenyewe sijui huu utaratibu wa kuweka mipango ya vurugu kwa kila jambo kwanza ule umoja wao wa mwanzo uliishia wapi walisema wataweza kuandamana nchi nzima.
 
Wanapokutana Pr. LIPUMBA, MBATIA NA KAMANDA MBOWE naamini wanajadili mambo ya kheri kwa ajili ya Tanzania. Ila wale watani zetu ndiyo huwa siwaamini sana kwani wengi wao ni wanafiki tu, hasa wale.wa upande wa Zenji ndiyo balaa kwa unafiki.
 
Sasa hapo mbona kunachama kinawaita wenzie ssm b ssm c. Sijui huwa kinajitasmini kwanza kbla ya kuongea
 
Wanapokutana Pr. LIPUMBA, MBATIA NA KAMANDA MBOWE naamini wanajadili mambo ya kheri kwa ajili ya Tanzania. Ila wale watani zetu ndiyo huwa siwaamini sana kwani wengi wao ni wanafiki tu, hasa wale.wa upande wa Zenji ndiyo balaa kwa unafiki.

Wanaongea utadhani midomo yao imewekewa cherehani ya umeme
 
Mbowe akili zake zinamtosha mwenyewe sijui huu utaratibu wa kuweka mipango ya vurugu kwa kila jambo kwanza ule umoja wao wa mwanzo uliishia wapi walisema wataweza kuandamana nchi nzima.

Hivi hiki Chama chakavu iweje kimruke Warioba na tume yake ambayo iliteuliwa na Rais hapo hamuoni kuwa ni kutomweshimu aliyewateua?
 
Wanaenda kupanga mandamano wanadhani katiba hii ni ya kwao kumbe ni katiba ya watanzania wote.
Duh..kwa udogo wa akili yako..na kasi ya kuporomoka ni wazi si muda hutakuwa na akili kabisa. Na wewe ni asset ya CCM?
 
Mbona wanachelewa kukutana? CCM hukutana kila siku, kila Waziri ana vikao vyake vya siri na kuwashawishi wajumbe na kugawa bahasha za kaki, sisi tupo nyuma yenu, hakikisheni joka linatoka ndani 2015., all the best tunataka umoja kama huo.,
 
Mbona wanachelewa kukutana? CCM hukutana kila siku, kila Waziri ana vikao vyake vya siri na kuwashawishi wajumbe na kugawa bahasha za kaki, sisi tupo nyuma yenu, hakikisheni joka linatoka ndani 2015., all the best tunataka umoja kama huo.,

Ni kweli Mkuu kila siku isipokua leo tu,mwenyekiti wa muda wa Bunge maalum la katiba huwatangazia Wabunge wa Ccm kukutana ktk jengo la zamani la Pius Msekwa.

Nawashangaa watu km Simiyu yetu hana macho ya kuona hayo yote kwa Ccm ila anaona kwa wapinzani tu! Nashindwa kuelewa watu km Simiyu yetu huwa ana akili za namna gani?

Hata sasa naungana na wewe kwamba wamechelewa kukutana km ambavyo wenzao Ccm wanafanya kila siku.
 
Zzk nae atakuwemo kwenye hicho kikao..!? Me nauliza tu jamani,najua wafuasi wake watakuja hapa wakitokwa na mapovu kunitukana.
 
Hivi wakikutana shida iko wapi mbona ccm mnakutana kla siku kwa siri ila watu tumetulia tu.nyie kinawawasha nini kwa nccr .cuf na cdm kukutana?
 
Ni kweli Mkuu kila siku isipokua leo tu,mwenyekiti wa muda wa Bunge maalum la katiba huwatangazia Wabunge wa Ccm kukutana ktk jengo la zamani la Pius Msekwa.

Nawashangaa watu km Simiyu yetu hana macho ya kuona hayo yote kwa Ccm ila anaona kwa wapinzani tu! Nashindwa kuelewa watu km Simiyu yetu huwa ana akili za namna gani?

Hata sasa naungana na wewe kwamba wamechelewa kukutana km ambavyo wenzao Ccm wanafanya kila siku.

Huyo simiyu yetu hamjamzoea tu anawashwa sana alaf amevimbiwa madawa ya kulevya
 
Wakutane, lakini watambue wajibu wao ni kuhakikisha katiba ya wananchi inapatikana!
 
Ikumbukwe wakati CUF wapo wengi bungeni waliwashirikisha CDM ktk serikali kivuli,CDM walipokuwa wengi bungeni waliwaacha CUF na NCCR kwenye mataa.
 
Ikumbukwe wakati CUF wapo wengi bungeni waliwashirikisha CDM ktk serikali kivuli,CDM walipokuwa wengi bungeni waliwaacha CUF na NCCR kwenye mataa.

Sasa wewe inakuhusu nini? Acha umbea wewe dada.
 
Ikumbukwe wakati CUF wapo wengi bungeni waliwashirikisha CDM ktk serikali kivuli,CDM walipokuwa wengi bungeni waliwaacha CUF na NCCR kwenye mataa.
ukiangalia vyema..CDM wana kura ya Siri nadhani unajua hofu ya CCM, wana Serikali 3 nadhani wazenj wote wa CUF na CCM wanataka hilo achilia mbali wana CCM wa bara, wana vyama vya kiraia na wanaharakati
 
Back
Top Bottom