Nimateso, udhalilishaji, uonevu, kukosa utu, kutokujari wasomi...sisi wanafunzi wa vyuo vikuu tunanyanyasika sana huku mtaani.Tunaishi kwa shida na taabu jaman mtuhurumie...niwiki ya 3 sasa hatujui hatma yetu huku FIELD...jumatano wanafunzi wote tumepanga maandamano ya kudai haki yetu au tujulishwe kama Serikali haitukopeshi tena tujue moja...kwapamoja tunaomba Wabunge wote wa DAR, madiwan, na wote wenye mapenzi na utu na elimu ya tanzania muungane nasi kudai haki dhidi ya udharimu na unyanyasaji tunaotendewa...MUNGU IBARIKI TANZANIA...Jumatano tunaanzia viwanja vya Jangwani