Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Mwenyekiti wa Wabunge wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mbunge wa Viti Maalum, Mariam Kisangi amesema, ziara waliyoifanya kwenye baadhi ya viwanda mkoani Pwani wakiambatana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo imewapa fursa ya kuona uwekezaji mkubwa unaofanyika mkoani Pwani.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Tumeona kwa macho yetu jinsi uwekezaji ulivyopanuka hapa Pwani. Kama wabunge wa Dar es Salaam, tunawahamasisha wawekezaji kuja pia katika mkoa wetu kwani bado tuna maeneo mazuri ya uwekezaji, kama vile Kigamboni na sehemu nyingine," amesema Kisangi.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Tumeona kwa macho yetu jinsi uwekezaji ulivyopanuka hapa Pwani. Kama wabunge wa Dar es Salaam, tunawahamasisha wawekezaji kuja pia katika mkoa wetu kwani bado tuna maeneo mazuri ya uwekezaji, kama vile Kigamboni na sehemu nyingine," amesema Kisangi.