Wabunge wa Kenya tofauti na Tanzania kikazi

RICHEST

Member
Joined
Jun 23, 2011
Posts
25
Reaction score
16
Bunge la kenya limekuwa kali kusimamia maslahi ya wakenya hadi katiba mpya kupatikana.Pia wamesimamia bajeti kikamilifu kiasi kuwa bajeti ya Kenya inategemea mapato yao wenyewe ya ndani bajeti yao si tegemezi kama ya kwetu.

Hivyo wanastahili pongezi kwa kujali maslahi ya wakenya na usimamizi mzuri wa mapato na matumizi na kuifanya bajeti isiwe tegemezi.
Hivyo wanahaki kulipwa.

Hawa wabunge wa Tanzania naomba si tu wafutiwe posho naomba hata mishahara yao ipunguzwe walipwe kima cha chini.
Naomba kutoa hoja.
 
Unaonaje ukiwaomba MoDs wabadili title ya thread yako maana nimekuja kwa speed kali then nika-faint baada ya kusoma post yako
 
Tuache kujilinganisha na Kenya ni wala rushwa kama Tanzania tu. Hii ni Pugu na Puguazi!!!
 
Tuache kujilinganisha na Kenya ni wala rushwa kama Tanzania tu. Hii ni Pugu na Puguazi!!!

agreed! they are corrupt money grabbing thieves hiding under the tittle of MP. I HATE KENYAN MPs!!!!! they do nothing talk alot and screw up kenyans.
 
Pamoja na rushwa kukithiri Kenya kama ilivyo Tanzania, ni lazima tukiri jambo moja; wakenya hawajawahi kutumiwa na wageni kwa malipo kidogo kwaajili ya kuachia karibu na bure, rasilimali muimu za nchi yao kama inavyofanyika hapa kwetu. Ndiyo maana kama tutaendelea hivi. katika miaka michache ijayo watanzania walio wengi watafanyishwa umanamba na hao hao wakenya.
 
so u r suggesting ours to emulate Kenyan MPs and stop paying tax sio?
 
 
Hoja yako mie binafsi imenichanganya kabisa..mishahara ya wabunge wa Kenya waijua weye?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…