Wabunge wa kuchaguliwa wanamuwakilisha nani bunge la katiba?

Wabunge wa kuchaguliwa wanamuwakilisha nani bunge la katiba?

MchunguZI

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2008
Posts
4,011
Reaction score
2,185
Uamuzi wa jinsi ya kupiga kura umekuwa ni mgumu kwa sababu wabunge wa CCM hawana hakika kama njama zao zitapita. Kwa maana nyingine, pamoja na kukubaliana kwa ujumla, ni unafiki tu ndo umekuwa ukitumika.

Sababu inayoelezwa tena kwa kujidai kuzungumza kwa upole ni kwamba eti wanataka wananchi wawaone kama kweli wameamua kulingana na mapendekezo yao. Swali langu ni kwamba hawa wabunge wa kuchaguliwa toka bara na visiwani wanawakilisha kundi gani ktk bunge la katiba? Nani amewatuma maoni ambayo wanataka yaonekane?

wabunge 201walioteuliwa na Rais ndo wawakilishi wa makundi mbalimbali nchini kote sasa hawa wengine wametumwa na nani jamani!

btw, eti Sendeka ndo wa busara aliyeteuliwa kuwakilisha hoja za chama na wengine kazi yao ni kumushangilia!
 
Bunge limejaa upumbavu mwanzo mwisho...wanamuwakilisha aliyewateua
 
Uamuzi wa jinsi ya kupiga kura umekuwa ni mgumu kwa sababu wabunge wa CCM hawana hakika kama njama zao zitapita. Kwa maana nyingine, pamoja na kukubaliana kwa ujumla, ni unafiki tu ndo umekuwa ukitumika.

Sababu inayoelezwa tena kwa kujidai kuzungumza kwa upole ni kwamba eti wanataka wananchi wawaone kama kweli wameamua kulingana na mapendekezo yao. Swali langu ni kwamba hawa wabunge wa kuchaguliwa toka bara na visiwani wanawakilisha kundi gani ktk bunge la katiba? Nani amewatuma maoni ambayo wanataka yaonekane?

wabunge 201walioteuliwa na Rais ndo wawakilishi wa makundi mbalimbali nchini kote sasa hawa wengine wametumwa na nani jamani!

btw, eti Sendeka ndo wa busara aliyeteuliwa kuwakilisha hoja za chama na wengine kazi yao ni kumushangilia!

Acha kuwa na akili ndogo kiasi hicho, unamaanisha mbunge anayewakilisha mwananchi ni yule wa kuchaguliwa na wanachi pekee? Kweli humu jf tuna mamburura.
 
Acha kuwa na akili ndogo kiasi hicho, unamaanisha mbunge anayewakilisha mwananchi ni yule wa kuchaguliwa na wanachi pekee? Kweli humu jf tuna mamburura.

Mbona mkali kama Sendeka? Unaishi kwa kutegemea chama? kama uko bungeni, sasa naona umuhimu wa kupandisha kiwango cha elimu ya mtu kuwa mbunge.

Sijui kama unajua maana ya akili, naona unaipa ukubwa na udogo. Hapa ni kutumia busara tu. Ukishindwa kutumia busara daima utahangaika sana.

Wabunge wa kuchaguliwa wanasema wanataka kura ya wazi ili wananchi waone jinsi wanavyotetea msimamo wa wananchi kama walivyotumwa. Sasa wewe hebu tumia hiyo akili kubwa utueleze kama kweli kuna mtu aliyewatuma halafu hana hakika mpaka atakapowaona wakipiga kura ya wazi.

Hebu endelea kutumia akili kubwa kutuonyesha ni kundi gani wanaliwakilisha ktk bunge. Wazee, waganga, wasio jiweza, NGO, wavuvi, wakulima n.k. wote wana wawakilishi wao ktk wale 201.

Kwa urahisi kabisa ni kwamba, ni watu wapuuzi tu ndo hupitisha mifumo ya kura ya wazi ktk dunia hii. Uzuri ni kwamba hata madikteta wamekuwa wakipigiwa kura za siri bila kujali matokeo yanayopitishwa.
 
Mbona mkali kama Sendeka? Unaishi kwa kutegemea chama? kama uko bungeni, sasa naona umuhimu wa kupandisha kiwango cha elimu ya mtu kuwa mbunge.

Sijui kama unajua maana ya akili, naona unaipa ukubwa na udogo. Hapa ni kutumia busara tu. Ukishindwa kutumia busara daima utahangaika sana.

Wabunge wa kuchaguliwa wanasema wanataka kura ya wazi ili wananchi waone jinsi wanavyotetea msimamo wa wananchi kama walivyotumwa. Sasa wewe hebu tumia hiyo akili kubwa utueleze kama kweli kuna mtu aliyewatuma halafu hana hakika mpaka atakapowaona wakipiga kura ya wazi.

Hebu endelea kutumia akili kubwa kutuonyesha ni kundi gani wanaliwakilisha ktk bunge. Wazee, waganga, wasio jiweza, NGO, wavuvi, wakulima n.k. wote wana wawakilishi wao ktk wale 201.

Kwa urahisi kabisa ni kwamba, ni watu wapuuzi tu ndo hupitisha mifumo ya kura ya wazi ktk dunia hii. Uzuri ni kwamba hata madikteta wamekuwa wakipigiwa kura za siri bila kujali matokeo yanayopitishwa.
Kama ungekuwa ndege ungekuwa ndege pori huwezi kuwa akili inayowaza gongo halafu uwe mtu wa maana kwenyi hii dunia pengine nikushauri uache gongo halafu ujipange vema itakusaidia sana.
 
...unategemea nini kutoka kwa mjumbe kama Kingunge?...

Asije kuwa ndo huyu Simiyu Yetu, maana kama anachoandika ndo anachokiwaza! Duh!

Mimi nilisema mwanzo kabisa kabisa kwamba kosa la bunge hili ni la Kikwete na CCM. walichagua wabunge ili wakashindane bungeni. Zikaundwa NGO za uongo haraka ili kuwaingiza wastaafu wa siasa, ili kuongeza idadi. Walichosahau ni uwezo wa kutetea hoja.

Walipokumbuka kwamba kuna watu hawawezi kutetea hoja wakachagua wachache wanaodhani ni mabingwa wa kutoa hoja, akina Sendeka! Wengine ni washangiliaji. Sasa angalia sendeka taaban kabisa lakini yeye andhani anatoa hoja, kumbe hakuna hoja. Wale wengine wanasubiri kupiga kura kwa wingi na ndo maana hilo la kura limekuwa ni kisiki cha kuendelea mbele.
 
Kama ungekuwa ndege ungekuwa ndege pori huwezi kuwa akili inayowaza gongo halafu uwe mtu wa maana kwenyi hii dunia pengine nikushauri uache gongo halafu ujipange vema itakusaidia sana.

Ingekuwa busara ungejibu alichouliza kuhusu uwakilishi kuliko kumtukana tu.haisaidii kumwita ndege pori bila kujibu hoja,jibu hoja ili tuone undege pori wake
 
Back
Top Bottom