Wabunge wa Tanzania wafanya kweli Burundi

Wabunge wa Tanzania wafanya kweli Burundi

AKILI TATU

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2016
Posts
2,659
Reaction score
2,827
IMG-20221026-WA0065.jpg
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambao pia ni Wajumbe wa Jukwaa la Maziwa Makuu washiriki Mkutano wa tano wa Uendelezaji Uchumi, Maliasili na Utengamano wa Kikanda, Bujumbura, nchini Burundi leo tarehe 26 Oktoba, 2022.

IMG-20221026-WA0064.jpg
 
Back
Top Bottom