Wabunge wa Tanzania wafanya kweli Burundi

AKILI TATU

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2016
Posts
2,659
Reaction score
2,827
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambao pia ni Wajumbe wa Jukwaa la Maziwa Makuu washiriki Mkutano wa tano wa Uendelezaji Uchumi, Maliasili na Utengamano wa Kikanda, Bujumbura, nchini Burundi leo tarehe 26 Oktoba, 2022.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…