Pre GE2025 Wabunge wa Ubungo na Kimara wajichunguze kama watafaa kugombea 2025

Pre GE2025 Wabunge wa Ubungo na Kimara wajichunguze kama watafaa kugombea 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

uperiti

New Member
Joined
Mar 9, 2023
Posts
4
Reaction score
6
Ikumbukwe kuwa wakati hayati JPM alipokuwa anazindua daraja la Kijazi Ubungo aliahidi kuanza na ujenzi wa barabara za Kimara lakini mpaka sasa hakuna barabara moja iliyotengenezwa. Ukienda Temeke lami au zege mpaka vichochoroni. Kwa kimara kuna barabara nyingi mbovu sana tena sana ila baadhi ni:

1. Kimara mwisho kwenda Goba kupitia kwa Ndevu.
2. Suka kwenda Golani
3. Temboni kwenda Goba kupitia kituo cha polisi Temboni
4. Temboni kwenda saranga

Ni muda mrefu sana hawa wabunge wamekuwa wakiahidi kuwa mwaka huu wa fedha barabara zitajengwa kwa kiwango cha lami mwaka unaisha hakuna hata kifusi. Mwaka unaofuata ahadi hiyo hiyo.

Sasa kama wanashindwa kuwahudumia wananchi na kuwapa ahadi za uongo watafaa kuendelea 2025?

Nawaomba wajipime kwa hilo tu.
 
Ikumbukwe kuwa wakati hayati JPM alipokuwa anazindua daraja la Kijazi Ubungo aliahidi kuanza na ujenzi wa barabara za Kimara lakini mpaka sasa hakuna barabara moja iliyotengenezwa. Ukienda Temeke lami au zege mpaka vichochoroni. Kwa kimara kuna barabara nyingi mbovu sana tena sana ila baadhi ni:

1. Kimara mwisho kwenda Goba kupitia kwa Ndevu.
2. Suka kwenda Golani
3. Temboni kwenda Goba kupitia kituo cha polisi Temboni
4. Temboni kwenda saranga

Ni muda mrefu sana hawa wabunge wamekuwa wakiahidi kuwa mwaka huu wa fedha barabara zitajengwa kwa kiwango cha lami mwaka unaisha hakuna hata kifusi. Mwaka unaofuata ahadi hiyo hiyo.

Sasa kama wanashindwa kuwahudumia wananchi na kuwapa ahadi za uongo watafaa kuendelea 2025?

Nawaomba wajipime kwa hilo tu.
Hakuna barabara yoyote inajengwa nchini!!
 
Ikumbukwe kuwa wakati hayati JPM alipokuwa anazindua daraja la Kijazi Ubungo aliahidi kuanza na ujenzi wa barabara za Kimara lakini mpaka sasa hakuna barabara moja iliyotengenezwa. Ukienda Temeke lami au zege mpaka vichochoroni. Kwa kimara kuna barabara nyingi mbovu sana tena sana ila baadhi ni:

1. Kimara mwisho kwenda Goba kupitia kwa Ndevu.
2. Suka kwenda Golani
3. Temboni kwenda Goba kupitia kituo cha polisi Temboni
4. Temboni kwenda saranga

Ni muda mrefu sana hawa wabunge wamekuwa wakiahidi kuwa mwaka huu wa fedha barabara zitajengwa kwa kiwango cha lami mwaka unaisha hakuna hata kifusi. Mwaka unaofuata ahadi hiyo hiyo.

Sasa kama wanashindwa kuwahudumia wananchi na kuwapa ahadi za uongo watafaa kuendelea 2025?

Nawaomba wajipime kwa hilo tu.
Ongezea na mbunge wa KAWE yaani ni balaa hizo barabara hata hao viongozi wa chini yake serikali mitaa hovyo mno.
Wajitafakari!.
 
Wabunge wote walioko bungeni hivi Sasa wasirudishwe maana ndiyo wamepitisha mkataba wa DPW
 
Nimetoka mji Moshi lami kila mahali hadi uchochoroni! Unajiuziza Dar wana makosa gani wakati 70% kodi TRA ni Dar? Barabara za Ubungo ni aibu tupu ni vumbi la kutosha! Mbezi Mpigimagoe ndo bara2 mbovu kuliko zote Dar!
 
Narudia tena niliyoandika mwaka jana kwamba hawa wabunge wajipime maana hakuna chochote walichofanya zaidi ya kukwangua barabara zetu na kutuachia vumbi. Mwaka huu wa pesa ukipita bila kuona chochote fungeni virago. Prof. anazuga na kizege kidogo kutoka Burura kwenda kijiweni kama nusu km tu kwa miaka yote minne. Wa kibamba hajafanya chochote kabisa. Kutoba Burura mpaka Suca ni balaa viuno vinateguka kila siku. Barabara ya kutoka kimara mwisho kwenda kutokea mkwajuni kupitia kwa Ndevu kwenda hadi Goba ni shida. Jipimeni kiukweli mtatimuliwa vumbi
 
Back
Top Bottom