pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 508
- 788
Kwa Hali ya kisiasa inavyendelea kwa sasa hapa nchini nitapenda kutabili wabunge wa upinzani watakao rudi kama ifuatavyo.
1.John heche.
Huyu mbunge kwa jinsi alivyokuwa anachangia bungeni kwa hoja zake kuntu nina uhakika wanatarime hawawezi muacha MTU kama huyu..heche lazima arudi kivyovyote vile.
2.Sugu.
Wanambeya lazima wamurudishe sugu mjengoni kwa hali na Mali..tulia utapelea sana hapa.
3.Joseph haule(prof j)
Huyu pia atarud lazima.....
Ila kwa uraisi magufuri lazima apite kwa asilimia 80% mtasema wenyewe.
Wabunge wengine wa upinzani sizani kama wataweza kurud kwa hali ninavyoiona.
Karibuni!.
1.John heche.
Huyu mbunge kwa jinsi alivyokuwa anachangia bungeni kwa hoja zake kuntu nina uhakika wanatarime hawawezi muacha MTU kama huyu..heche lazima arudi kivyovyote vile.
2.Sugu.
Wanambeya lazima wamurudishe sugu mjengoni kwa hali na Mali..tulia utapelea sana hapa.
3.Joseph haule(prof j)
Huyu pia atarud lazima.....
Ila kwa uraisi magufuri lazima apite kwa asilimia 80% mtasema wenyewe.
Wabunge wengine wa upinzani sizani kama wataweza kurud kwa hali ninavyoiona.
Karibuni!.