johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ndio taarifa zinazosikika jijini Dodoma kwamba wabunge wote wa viti maalumu na wale wa kuteuliwa sasa wameshapata uzoefu wa kibunge hivyo chama kitawataka wakatafute majimbo wagombee.
Bunge lijalo linategemewa kuwa na wabunge wa viti maalumu wote wapya waliosheheni sifa za kisomi na ubobezi mbalimbali.
Taarifa zinadai kuna wakati Rais Magufuli anapata wakati mgumu kupata wateule sahihi wa nafasi za uwaziri kwa kuwa wale waliopo wanakuwa wamepungukiwa sifa za kiuteuzi.
Ni hayo kwa uchache.
Endelea kunywa mtori nyama utazikuta chini.
Maendeleo hayana vyama!
Bunge lijalo linategemewa kuwa na wabunge wa viti maalumu wote wapya waliosheheni sifa za kisomi na ubobezi mbalimbali.
Taarifa zinadai kuna wakati Rais Magufuli anapata wakati mgumu kupata wateule sahihi wa nafasi za uwaziri kwa kuwa wale waliopo wanakuwa wamepungukiwa sifa za kiuteuzi.
Ni hayo kwa uchache.
Endelea kunywa mtori nyama utazikuta chini.
Maendeleo hayana vyama!