Tetesi: Wabunge wa viti maalumu wa CCM kutakiwa kugombea majimboni, bunge lijalo viti hivyo ni kwa wanawake wasomi wenye maono

Tetesi: Wabunge wa viti maalumu wa CCM kutakiwa kugombea majimboni, bunge lijalo viti hivyo ni kwa wanawake wasomi wenye maono

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Ndio taarifa zinazosikika jijini Dodoma kwamba wabunge wote wa viti maalumu na wale wa kuteuliwa sasa wameshapata uzoefu wa kibunge hivyo chama kitawataka wakatafute majimbo wagombee.

Bunge lijalo linategemewa kuwa na wabunge wa viti maalumu wote wapya waliosheheni sifa za kisomi na ubobezi mbalimbali.

Taarifa zinadai kuna wakati Rais Magufuli anapata wakati mgumu kupata wateule sahihi wa nafasi za uwaziri kwa kuwa wale waliopo wanakuwa wamepungukiwa sifa za kiuteuzi.

Ni hayo kwa uchache.

Endelea kunywa mtori nyama utazikuta chini.

Maendeleo hayana vyama!
 
Sio hao tu, hata baadhi ya wabunge wenye majimbo ambao hawana tija yoyote bungeni iwe wa CCM au upinzani nao wanatakiwa kupisha waje watu wenye weledi na kuisimamia serikali kwa maslahi mapana ya taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la majimboni ni wapiga kura wenyewe na aina ya maisha yao.

Mtera kwa mfano Kibajaji vs Le mutuz, wapiga kura wanafanyaje hapo?
 
Wembe ni ule ule, Bunge lijalo litajaa Wasomi hofu na shaka yangu ni kuwa je hawa wasomi watakuwa na uthubutu au watajaa tambo tu kama mzee wa jalalani
 
Kwahyo Mafala Wapewe Majimbo Wenye Akili Wawe Viti Maalumu? ubunge tunatakiwa kupeleka angalau form 6, au wanasheria wachumi na wanadiplomasia. otherwise sheria mbovu zitatutesa miaka mingi.
Kama wapiga kura watamvhagua fala hiyo ni Demokrasia yao itaheshimiwa!
 
Back
Top Bottom