Pre GE2025 Wabunge wafanyiwe 'Continuous Assesment' kuona kama wanafaa kugombea tena

Pre GE2025 Wabunge wafanyiwe 'Continuous Assesment' kuona kama wanafaa kugombea tena

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kishimbe wa Kishimbe

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
5,566
Reaction score
5,477
Inawezekanaje mbunge achaguliwe kwenda tu Bungeni kulala kwa miaka yote mitano bila kuleta athari yeyote halafu eti apate tena fursa ya kugombea na kurudi tena bungeni miaka mingine mitano na kadhalika?

Kuna haja ya kuwafanyia wabunge 'Continuous Assesment' kwa mchango wao wanaotoa bungeni, hii assessment ndiyo itumike kuamua kama mbunge husika anafaa kurudi bunge lifuatalo au la!

Ni hivyo tu wadau!
 
... inawezekanaje mbunge achaguliwe kwenda tu Bungeni kulala kwa miaka yote mitano bila kuleta athari yeyote halafu eti apate tena fursa ya kugombea na kurudi tena bungeni miaka mingine mitano na kadhalika!?
KUNA HAJA YA KUWAFANYIA WABUNGE 'CONTINUOUS ASSESMENT' KWA MCHANGO WAO WANAOTOA BUNGENI NA, HII ASSESSMENT, NDIYO ITUMIKE KUAMUA KAMA MBUNGE HUSIKA ANAFAA KURUDI BUNGE LIFUATALO AU LA!
NI HIVYO TU WADAU!
Haha kama chuo vile sio. Nafikiri right question is wanakuwa assesed kama watumishi wengine?
 
Back
Top Bottom