Uchaguzi 2020 Wabunge waliohama CHADEMA "ndugu yangu usisahau unapokwenda vilevile ukumbuke ulipotoka"

Uchaguzi 2020 Wabunge waliohama CHADEMA "ndugu yangu usisahau unapokwenda vilevile ukumbuke ulipotoka"

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Miaka ya 80 kulikuwa na huu wimbo maarufu Sana " ndugu yangu usisahau unapokweendaa VILEVILE UKUMBUKE ULIPOTOKA*"

Sijui muimbaji alimaanisha Nini lakini naomba nitumie maneno ya wimbo huo kuwaasa wabunge waliokuwa chadema na kuhamia CCM eti wanaenda kuunga mkono juhudi.

Hameni kwa heshima bila kunyea kambi wapare wanamsemo unaosema usinyee kambi kabla mvua haijakatika

Usiku mwema

Kila la heri huko muendako muda utaongea.

Superbug
 
Baada ya magufuli kumaliza muda wake Kuna watu watajiuliza hivi tulifwata nini huku?

Hivi nini kilituleta huku?

Huyo atakaekuwepo wakati huo atawapa kisogo na kuwadharau hatawatumia Tena watakuwa Kama pampasi iliyotumika watatamani kurudi chadema *the noas Arch door would be closed* mlango wa safina ya nuhu utakuwa umeshafungwa watajuta na kujidharau watajiona wajinga aliewatumia kuja CCM atakuwa chato akicheza na tausi wake huku akiwacheka kwa upumbavu wao na hapo watalia na kusaga meno wakimgeukia lisu mbowe heche mdee msigwa matiko sugu ambao bado siasa za nchi hii zitaendelea kuwahitaji huku waunga mkono juhudi wakichekwa kwa aibu na wengi wao watafutika na kusahaulika haraka katika ulingo wa siasa wangali na umri mdogo.
 
Back
Top Bottom