Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,103
1.dr slaa maji barabara vitongoji mpaka vijiji, 2, desamburu, mji kuwa msafi na wananchi kuwa na uelelwa wa mazingira yao, 3. wananfunzi wa masekondari kusoma buree kutokana na rasilimali za eneo husika barabara kigoma kaskazini. 4 halima mdee mtetezi wa kawe kwenye kiwanda cha tanganyika pekaz akamfunika mbunge wa jimbo hilo aliyopo kama mzigo, ana kilago barabara kweny baadhi ya maeneo ya jimbo lake, plz plz na wewe weka wako watano then tufanye tadhimini kuwa nani ninani kwa mwenzake na taifa:angry: