Wabunge wanafanya nini kwa taifa kustahili mabilioni wanayopata?

Wabunge wanafanya nini kwa taifa kustahili mabilioni wanayopata?

mwanamichakato

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
1,188
Reaction score
1,090
Nchi yetu bado ipo ktk bado ipo ktk hatua mbalimbali Za kutokomeza umaskini.

Wafanyakazi,wafanya biashara,Wenye viwanda na wakulima ndio walipa kodi wakubwa licha ya tax base kuwa finyu.

Kila mwaka lengo la bajeti si chini ya 35% ( Budget deficit) na hili ni Kwa sababu ya matumizi kuwa makubwa kuliko mapato.

Toka tupate uhuru tumekuwa wategemezi wa misaada, mikopo na ruzuku toka Kwa wahisani.

Leo tunapata wapi uthubutu wa kuruhusu na kuidhinisha mabilioni ya mishahara,marupurupu na posho Kwa wabunge (Wanasiasa)..

Wanafanya nini kikubwa?
Kweli wanastahili wakipatatacho?
Afya ya uchumi wetu ipoje?
 
Nchi yetu bado ipo ktk bado ipo ktk hatua mbalimbali Za kutokomeza umaskini.

Wafanyakazi,wafanya biashara,Wenye viwanda na wakulima ndio walipa kodi wakubwa licha ya tax base kuwa finyu.

Kila mwaka lengo la bajeti si chini ya 35% ( Budget deficit) na hili ni Kwa sababu ya matumizi kuwa makubwa kuliko mapato.

Toka tupate uhuru tumekuwa wategemezi wa misaada, mikopo na ruzuku toka Kwa wahisani.

Leo tunapata wapi uthubutu wa kuruhusu na kuidhinisha mabilioni ya mishahara,marupurupu na posho Kwa wabunge (Wanasiasa)..

Wanafanya nini kikubwa?
Kweli wanastahili wakipatatacho?
Afya ya uchumi wetu ipoje?
Halafu wanataka kuongeza majimbo ! Wanasiasa siyo kabisa. Yafaa majimbo yawe kila mkoa ni jimbo la wabunge wanne tu, KE-2 na ME-2 na mishahara ipunguzwe iwe walau 5m tu !
 
Halafu wanataka kuongeza majimbo ! Wanasiasa siyo kabisa. Yafaa majimbo yawe kila mkoa ni jimbo la wabunge wanne tu, KE-2 na ME-2 na mishahara ipunguzwe iwe walau 5m tu !
Tulipaswa kuyapunguza

Ni mzigo Kwa wananchi maskini

Ni mzigo Kwa walipa kodi wachache

Kodi zinapatikana Kwa jasho na damu
 
Wamesaidia nini ktk kuongeza uwekezaji?

Kupambana na Rushwa,Ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali?

Wamesaidia nini ktk utungaji wa sheria safi ?
 
Hawa ni wabunge WA Magufuli na sii wabunge WA wananchi! Na Magufuli alishakufa
 
Nchi yetu bado ipo ktk bado ipo ktk hatua mbalimbali Za kutokomeza umaskini.

Wafanyakazi,wafanya biashara,Wenye viwanda na wakulima ndio walipa kodi wakubwa licha ya tax base kuwa finyu.

Kila mwaka lengo la bajeti si chini ya 35% ( Budget deficit) na hili ni Kwa sababu ya matumizi kuwa makubwa kuliko mapato.

Toka tupate uhuru tumekuwa wategemezi wa misaada, mikopo na ruzuku toka Kwa wahisani.

Leo tunapata wapi uthubutu wa kuruhusu na kuidhinisha mabilioni ya mishahara,marupurupu na posho Kwa wabunge (Wanasiasa)..

Wanafanya nini kikubwa?
Kweli wanastahili wakipatatacho?
Afya ya uchumi wetu ipoje?
Wanasaidia rais kukaa madarakani!
 
Nchi yetu bado ipo ktk bado ipo ktk hatua mbalimbali Za kutokomeza umaskini.

Wafanyakazi,wafanya biashara,Wenye viwanda na wakulima ndio walipa kodi wakubwa licha ya tax base kuwa finyu.

Kila mwaka lengo la bajeti si chini ya 35% ( Budget deficit) na hili ni Kwa sababu ya matumizi kuwa makubwa kuliko mapato.

Toka tupate uhuru tumekuwa wategemezi wa misaada, mikopo na ruzuku toka Kwa wahisani.

Leo tunapata wapi uthubutu wa kuruhusu na kuidhinisha mabilioni ya mishahara,marupurupu na posho Kwa wabunge (Wanasiasa)..

Wanafanya nini kikubwa?
Kweli wanastahili wakipatatacho?
Afya ya uchumi wetu ipoje?
Wao ndio watunga sheria na sera za nchi hivyo wamejipangia wenyewe Kwa sababu nchi HAINA mwenyewe.

WANANCHI WAMELALA USINGIZI WA PONO.
 
Halafu wanataka kuongeza majimbo ! Wanasiasa siyo kabisa. Yafaa majimbo yawe kila mkoa ni jimbo la wabunge wanne tu, KE-2 na ME-2 na mishahara ipunguzwe iwe walau 5m tu !
Kwani kwa sasa wanalipwa sh ngapi?
 
Nchi yetu bado ipo ktk bado ipo ktk hatua mbalimbali Za kutokomeza umaskini.

Wafanyakazi,wafanya biashara,Wenye viwanda na wakulima ndio walipa kodi wakubwa licha ya tax base kuwa finyu.

Kila mwaka lengo la bajeti si chini ya 35% ( Budget deficit) na hili ni Kwa sababu ya matumizi kuwa makubwa kuliko mapato.

Toka tupate uhuru tumekuwa wategemezi wa misaada, mikopo na ruzuku toka Kwa wahisani.

Leo tunapata wapi uthubutu wa kuruhusu na kuidhinisha mabilioni ya mishahara,marupurupu na posho Kwa wabunge (Wanasiasa)..

Wanafanya nini kikubwa?
Kweli wanastahili wakipatatacho?
Afya ya uchumi wetu ipoje?
Wanawaibia na kuwahujumu wadanganyika
 
Nchi yetu bado ipo ktk bado ipo ktk hatua mbalimbali Za kutokomeza umaskini.

Wafanyakazi,wafanya biashara,Wenye viwanda na wakulima ndio walipa kodi wakubwa licha ya tax base kuwa finyu.

Kila mwaka lengo la bajeti si chini ya 35% ( Budget deficit) na hili ni Kwa sababu ya matumizi kuwa makubwa kuliko mapato.

Toka tupate uhuru tumekuwa wategemezi wa misaada, mikopo na ruzuku toka Kwa wahisani.

Leo tunapata wapi uthubutu wa kuruhusu na kuidhinisha mabilioni ya mishahara,marupurupu na posho Kwa wabunge (Wanasiasa)..

Wanafanya nini kikubwa?
Kweli wanastahili wakipatatacho?
Afya ya uchumi wetu ipoje?
The World Is Totally Not Fair, Someone who works very hard somewhere always experience little payment compared to someone who is shouting out there without any expertise
 
Nchi yetu bado ipo ktk bado ipo ktk hatua mbalimbali Za kutokomeza umaskini.

Wafanyakazi,wafanya biashara,Wenye viwanda na wakulima ndio walipa kodi wakubwa licha ya tax base kuwa finyu.

Kila mwaka lengo la bajeti si chini ya 35% ( Budget deficit) na hili ni Kwa sababu ya matumizi kuwa makubwa kuliko mapato.

Toka tupate uhuru tumekuwa wategemezi wa misaada, mikopo na ruzuku toka Kwa wahisani.

Leo tunapata wapi uthubutu wa kuruhusu na kuidhinisha mabilioni ya mishahara,marupurupu na posho Kwa wabunge (Wanasiasa)..

Wanafanya nini kikubwa?
Kweli wanastahili wakipatatacho?
Afya ya uchumi wetu ipoje?
Gentleman,
soma ibara ya 63 na 64 ya katiba ya Tanzania uweze kujua kazi na wajibu wa wabunge.

Na kwa uchache tu,
miongoni mwa majukumu mazito na wajibu muhimu wa wabunge ni pamoja na kutunga sheria, kuisimamia na kuishauri serikali, lakini pia kujadili na kupitisha bajeti ya maendeleo ya wanainchi wa Tanzania.

Sasa kwa dhamana hizo kwa uchache, bilashaka yoyote wabunge wanastahili stahiki nzuri zenye tija kwa mujibu wa sheria na katiba ya nchi 🐒
 
Back
Top Bottom