Engineer levi Devin
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 2,501
- 1,047
Katiba nzuri inafanikisha haya yote,watu wana Uhuru wao na rais Hana nafasi ya kujimwambafai mwambafai,Wana Afrika mashariki tubadili mifumo ya uongozi katika mataifa yetu husika ili tuwe na Uhuru kama wa wakenya ,hakika Kenya ni nchi ya kuigwa kwa Mambo mengi haswa uongozi ulio nyooka.View attachment 1264138View attachment 1264135View attachment 1264139View attachment 1264137View attachment 1264140View attachment 1264142
Nitamleta .Mtoto Sabina Chege yupo wapi?
Nampa ofa ya yeye kuvua chupi yake na kunikalia usoni mwangu for free!
That bitch is massive,goddamnit!
Siku hizi ufichi jinsia yako umeacha kujifanya dumeAisha jumwaView attachment 1264147
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Nitamleta .
Mtoto Sabina Chege yupo wapi?
Nampa ofa ya yeye kuvua chupi yake na kunikalia usoni mwangu for free!
That bitch is massive,goddamnit!
Kwa Tanzania kunaye dada fulani anaitwa Mange Kimambi, alishaitoroka nchi, hupiga makelele akiwa Marekani, siku akithubutu kurudi nyumbani sijui itakua vipi. Kuna kipindi aliagiza maandamano ya nchi nzima, duh mapolisi yalibaki yakiandamana yenyewe, yaani defenda zilikua zinageuza geuza kwenye kila barabara...hehehehe
Kunaye mwingine mbunge wa Kawe, anaitwa Halima Mdee, siku hizi alishanyamazishwa baada ya kuswekwa jela mara kadhaa, haongei ongei tena. Kuna kipindi alikua moto moto....Kwa kweli wenzetu hawa wana safari ndefu kabla kufikia kwenye level yetu hapa Kenya.
Huyu hapa Halima Mdee, alikamatwa kamatwa hadi akakoma ubishi na kukubali yaishe.
Nawewe ni Mrembo au ?
Siku hizi ufichi jinsia yako umeacha kujifanya dume
Mange kimambi sio mbunge, na ana hakuikimbia nchi, ni mmarekani aliukana uraia wa Tz, ila ww jamaa bhana, duh.Kwa Tanzania kunaye dada fulani anaitwa Mange Kimambi, alishaitoroka nchi, hupiga makelele akiwa Marekani, siku akithubutu kurudi nyumbani sijui itakua vipi. Kuna kipindi aliagiza maandamano ya nchi nzima, duh mapolisi yalibaki yakiandamana yenyewe, yaani defenda zilikua zinageuza geuza kwenye kila barabara...hehehehe
Kunaye mwingine mbunge wa Kawe, anaitwa Halima Mdee, siku hizi alishanyamazishwa baada ya kuswekwa jela mara kadhaa, haongei ongei tena. Kuna kipindi alikua moto moto....Kwa kweli wenzetu hawa wana safari ndefu kabla kufikia kwenye level yetu hapa Kenya.
Huyu hapa Halima Mdee, alikamatwa kamatwa hadi akakoma ubishi na kukubali yaishe.
Mange kimambi sio mbunge, na ana hakuikimbia nchi, ni mmarekani aliukana uraia wa Tz, ila ww jamaa bhana, duh.
Katiba nzuri ni ile yenye kuleta suluhisho ya shida za wananchi walio wengi, shida zinazowakabili wakenya wengi ni
1)Umasikini
2)Ukabila
3)Rushwa
4)Dhuluma katika kumiliki ardhi
5)Njaa
6)Ukosefu wa ajira
7)Gharama za maisha kuwa juu
8)Nepotism
9)Crime
10)Extra judicial killings
11)Deni kubwa la taifa