Wabunge wawa wakali juu ya ukosefu wa maji na toilet paper vyumba vya uani vya Bunge

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,299
Wakenya wamewataka wabunge wao kubeba karatasi zao za kutumia baada ya haja kubwa bungeni iwapo wameghadhabishwa na ukosefu wa karatasi hizo bungeni.

Wabunge katika mjadala siku ya Jumatano walitumia muda wao mwingi kulalamikia ukosefu wa karatasi hizo na maji katika vyoo vyao.

Ni swala lililowaunganisha wabunge wa chama tawala na wale wa upinzani.

Kiongozi wa walio wachache bungeni John Mbadi alisema kwamba sio maji pekee ambayo hakuna bali hata karatasi hizo.

''Huwezi kuniambia kwamba bunge ambalo wabunge wa taifa wanafanya kazi zao halina karatasi za kwendea haja kubwa na kwamba mara nyengine unaingia chooni na hakuna karatasi hizo''.

Mbadi aliongezea kwamba swala hilo la choo ni tete mno huku mifereji pia ikikosa maji hivyobasi kuwa vigumu kwa wabunge kutekeleza wajibu muhimu wa kuwa wasafi.

''Mwanzo katika jumba la Continental House unafaa kuwa makini sana , unafaa kuangalia iwapo kuna maji kwa sababu unaweza kujichafua....kabla ya kuchukua hatua yoyote ni lazima uhakikishe kwamba kuna maji katika mifereji. Kwa sababu unahitaji maji hayo baada ya kufanya mambo fulani'', aliongezea Mbandi.

Kiranja wa walio wachache bungeni ambaye pia ni mbunge wa Suna Mashariki Junet Mohammed aliishutumu kamati ya maandalizi katika bunge la 11 kwa kushindwa kuimarisha hali ya wabunge licha ya kusafiri katika mataifa kadhaa ikiwemo Uganda ili kujifahamisha.

''Bwana Spika chai inayotolewa hapa haina maziwa na inafanana na ile inayotolewa wakati wa matanga'', alisema katika matamshi yaliozua kicheko kutoka kwa wabunge wenzake.

Mbunge wa Nambale Sakwa Bunyasi alisema kuwa bunge halihitaji wapishi pekee bali wapishi wataalam ambao wanaweza kupika vyakula vizuri.

Naye naibu kiongozi wa walio wengi bungeni Jimmy Angwenyi alisema kuwa kuna umuhimu wa idara ya upishi kuimarisha upikaji wa vyakula.

''Naamini kwamba tuliwaajiri watu wanaofaa kupika chakula kizuri.Sifai kupiga foleini kwa muda mrefu kwa sababu mimi ni mzee naweza kuzirai'' , alisema Angwenyi.

''Bwana Spika sio haki kwamba baadhi ya maeneo ya kuegesha magari yaliotengewa wabunge yamechukuliwa na maafisa wengine.hatuwezi kuingia katika eneo la kufanyia mazoezi tunapohitaji''.

==================================================


MPs on Wednesday complained of bad state of facilities in Parliament which they said do not befit their status.


It was a general consensus and rare show of unity among legislators from Nasa and Jubilee with the lawmakers calling for enhanced services and on catering department to improve on their culinary skills.

The debate came up when MPs were approving names of members of the committee on services and facilities formerly known as the catering committee.

National Assembly Minority Leader John Mbadi said not only are tissues missing in the MPs washrooms but also water.

β€œYou cannot tell me that a parliament where legislators of a country stay you cannot have toilet paper that at one point you go to the washroom and there are no toilet papers,” the legislators said.

BASIC HYGIENE

Mbadi added that the washroom issue was so severe that taps have no running water in some washrooms making it hard for the MPs to observe basic hygiene.

β€œIn fact at Continental house you have to be very careful you have to check whether the taps are running because you may mess yourself…before you take any action you must find out whether there’s running water coz otherwise if you come to some civilization you really need that water after passing through some activity,” Mbadi added.

He even complained that the food is too expensive despite being of low quality. A buffet at Parliament main dining hall goes for Sh590.

β€œWe actually pay for this food, it is not for free but the price does not match the quality. We are even made to queue like primary school children,” Mr Mbadi complained.

Minority Whip and Suna East MP Junet Mohamed accused the catering committee in the eleventh Parliament of doing very little to improve the welfare of MPs despite travelling to various countries including Uganda for bench marking.

LITTLE MILK

β€œMr Speaker the type of tea that is offered here has very little milk and it looks like that offered during funerals,” he said in a comment that drew laughter from his colleagues.

Nambale MP Sakwa Bunyasi said Parliament needs not just cooks but chefs who can prepare proper meals.

β€œWhen you go out there to eat chicken, you get a better cooked meal than the one inside here,” Mr Bunyasi said.

Deputy majority leader Jimmy Angwenyi said there is need for the catering department to improve on their cooking.

β€œI believe we hired the right people and they should cook good food. I don’t need to queue for long before being served because I am old and I can collapse,” Mr Angwenyi said.

β€œMr Speaker it’s not fair that some packing lots reserved for us have been taken away by other members. We cannot access the gym facilities whenever we need physiotherapy,” said Westlands MP Tim Wanyonyi who is physically challenged

Source: Nairobinews
 
hao nao wamezidi,si waende na toilet tissue zao
 
Kwangu Niko na Tissue na maji ya kutosha sijui hawa wanalia nini but it is a good thing so that they can also feel the pinch pestering the common Wanjiku. Sasa it's business as usual! kuangalia maslahi yetu na yao. Siasa zimekwisha na Kazi iendelee.
 
Kwangu Niko na Tissue na maji ya kutosha sijui hawa wanalia nini but it is a good thing so that they can also feel the pinch pestering the common Wanjiku. Sasa it's business as usual! kuangalia maslahi yetu na yao. Siasa zimekwisha na Kazi iendelee.

Politicians will always rubble rouse whenever their welfare is trampled upon. When common mwananchi complains it's business as usual and when a committee to look into the matter is formed is not for the solution but for pocket-lining allowances. Let them quietly sort their issues in those committees.
 
I wish this shithole politicians would be this vocal about the way poor Kenyans are living in their areas.
 
hao nao wamezidi,si waende na toilet tissue zao
Wengine wao hata sielewi walivofika kwenye bunge hili. Walipomaliza hayo ya vyoo, waliingia kwenye ishu ya Canteen yao hapo bungeni. Kuna mbunge anaitwa Jimmy Angwenyi alisema hataki kupigishwa foleni wakati wa kula, eti 'I am an old man and I might collapse'! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 

huyo mzee kiboko πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
huyo mzee kiboko πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Wasanii hao, mbunge John Mbadi naye alimalizia kwa kusema kwamba chakula hapo Canteen kinauzwa kwa bei ya juu sana, wakati ni kibovu kupindukia. Eti sahani moja Kshs 690! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Bunge Live ni zaidi ya comedy! Mimi naomba huduma hizo ziendelee kuzorota kabisa. Ili wabunge nao wajue wananchi huwa wanahisi vipi, kila wanapolalama kuhusu jambo fulani, bila ya yeyote ule wa kusuluhisha wala sikio la kuwasikiza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…