johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mfanyabiashara nguli na maarufu Duniani mh Adani ameendelea kubanwa kwenye viunga vya Africa Mashariki
Baada ya kuondolewa kwenye Mambo ya Umeme na Viwanja vya Ndege, wabunge wataka aondolewe kwenye PPP ya Mfuko wa Bima ya Afya SHA
Nawatakieni Sabato njema 😃
Pia soma:
www.jamiiforums.com
Baada ya kuondolewa kwenye Mambo ya Umeme na Viwanja vya Ndege, wabunge wataka aondolewe kwenye PPP ya Mfuko wa Bima ya Afya SHA
Nawatakieni Sabato njema 😃
Pia soma:
Rais Ruto afutilia mbali mkataba wa kujenga njia za umeme na kupanua Uwanja wa Ndege wa JKIA kati ya Kenya na Adani Group
Rais wa Kenya, William Ruto siku ya leo kwamba ameagiza kufutwa kwa mkataba kati ya Serikali ya Kenya na kampuni ya Adani, mkataba uliokuwa umelenga kupanua uwanja mkuu wa ndege wa nchi hiyo, JKIA Aidha Ruto pia ameagiza kufutwa kwa mkataba wenye thamani ya zaidi ya dola milioni 700 ambao...