Pre GE2025 Wabunge wengi wa CCM majimboni kwao hali ni shwari sana, asilimia kubwa ya wanazuoni wenye vyeti muhimu kitaaluma kutetea viti vyao kiulaini

Pre GE2025 Wabunge wengi wa CCM majimboni kwao hali ni shwari sana, asilimia kubwa ya wanazuoni wenye vyeti muhimu kitaaluma kutetea viti vyao kiulaini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Wanaokusudia kutetea nafasi zao kwa kutegemea pesa, bila kua na hoja mahususi, kuibua au kuchangia mijadala yenye maslahi mapana kwa wananchi wao majimboni na Taifa kwa ujumla, hali ya thank you iko wazi kabisa miongoni mwao kutoka kwa wananchi wanao wawakilisha.

Na wote hao watakua replaced na wanachama makini, wasomi mbadala kwenye hazina ya wanachama mamilioni wa CCM imara.

Nawatakia kila la kheri wabunge wote wasomi na wachapakazi kwa kufanikiwa kukonga nyoyo za wananchi wenu majimboni. Maendeleo na mabadiliko kwenye maisha ya wananchi wenu yanaonekana.
Kiukweli mmeupiga mwingi sana.

Soma Pia:

Well done Dr.Samia Suluhu Hassan for the theory na kwa kuonyesha njia.

Hello dar es salaam once again.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
 
Cheo pekee kinacho kufaa ni kuwa mama wa familia.

na hivi ndivyo wafanania, uki vaa sare zenu
FB_IMG_17379960136607532.jpg
 
Gentleman,
Namshukuru Mungu kwa kunifanya baba wa familia, kiongozi mchapakazi hodari wa wananchi na member wa JF hususani kwenye jukwaa hili muhimu na la heshima sana la siasa.🐒
wewe ni mama wa familia, hakuna real gent ana traits za kike kike ka hizi.
 
Za ndani, bro una shindia shati la ccm
No gentleman,
Nashinda kufanya kazi muhimu za wananchi kwa maslahi mapana ya waTanzania wote,

Lakini zaidi sana,
nashinda kufanya tafiti nyingi mno kuhusu mambo mballimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa 🐒
 
No gentleman,
Nashinda kufanya kazi muhimu za wananchi kwa maslahi mapana ya waTanzania wote,

Lakini zaidi sana,
nashinda kufanya tafiti nyingi mno kuhusu mambo mballimbali ya kisiasa, kijamii, kiuchumi, kitaifa na kimataifa 🐒
Chai
 
wewe ni mama wa familia, hakuna real gent ana traits za kike kike ka hizi.
Gentleman singependa kuungana nawe katika kuwadhihaki wamama wote duniani, licha ya kua inawezekana umepitia changamoto ya malezi ,

ni muhimu kujikita kwenye hoja kuliko kuwabeza na kuwatweza mama za kila moja humu jukwaani 🐒
 
Wanaokusudia kutetea nafasi zao kwa kutegemea pesa, bila kua na hoja mahususi, kuibua au kuchangia mijadala yenye maslahi mapana kwa wananchi wao majimboni na Taifa kwa ujumla, hali ya thank you iko wazi kabisa miongoni mwao kutoka kwa wananchi wanao wawakilisha.

Na wote hao watakua replaced na wanachama makini, wasomi mbadala kwenye hazina ya wanachama mamilioni wa CCM imara.

Nawatakia kila la kheri wabunge wote wasomi na wachapakazi kwa kufanikiwa kukonga nyoyo za wananchi wenu majimboni. Maendeleo na mabadiliko kwenye maisha ya wananchi wenu yanaonekana.
Kiukweli mmeupiga mwingi sana.

Soma Pia:

Well done Dr.Samia Suluhu Hassan for the theory na kwa kuonyesha njia.

Hello dar es salaam once again.🐒
Mungu Ibariki Tanzania
Na wote hao watakua replaced na wanachama makini, wasomi mbadala kwenye hazina ya wanachama mamilioni wa CCM imara😂😂😂😂
 
Gentleman singependa kuungana nawe katika kuwadhihaki wamama wote duniani, licha ya kua inawezekana umepitia changamoto ya malezi ,

ni muhimu kujikita kwenye hoja kuliko kuwabeza na kuwatweza mama za kila moja humu jukwaani 🐒
wewe ndio nime kuita mama wa familia, Wacha mbinu ya kuji fanya mwema.
 
wewe ndio nime kuita mama wa familia, Wacha mbinu ya kuji fanya mwema.
mama ni mama tu gentleman,
kumdhihaki na kumbeza tena hadharani jukwaani, ni kujitaftia laana tu.

Ni ungwana ikiwa huna mawazo mapya wala fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani, ni afadhalli kukaa kimya tu, kuliko kumtusi mama ambae wala hata hahusiki maskini ya Mungu 🐒
 
Na wote hao watakua replaced na wanachama makini, wasomi mbadala kwenye hazina ya wanachama mamilioni wa CCM imara😂😂😂😂
Yes,
na huo ndio ukweli usio na mawaa gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom