Elections 2010 Wabunge Wengi Wakosea Viapo Vyao!


Mmmh, umenikumbusha mambo ya Shitambala jinsi ccm/cuf walivyokomalia kuhusu kiapo lakini hapa wanafanya madudu! Anyway, nitaangalia hiyo sheria ya viapo na kuibandika hapa baadaye!
 
jaji alikosea mara moja (position ya neno faithfully)
obama naye alikosea mara moja ("... to the united states..." badala ya "... of the united states....")

Asante kwa kunikumbusha/kutukumbusha ilivyokuwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…