No question, inabidi warudiea viapo vyao.
Bado nimekuwa natafuta sheria ya viapo kuangalia legality ya rais kuapa kwa kutumia katiba badala ya msahafu. Nilikuwa na kopi yangu wakati wa sakata la Shitambala kujiapisha wakati wa uchaguzi mdogo wa Mbeya, lakini siioni tena. Kama mwanasheria Buchanan unayo kopi ya sheria hiyo naomba utuwekee hapa tujipige msasa tena.