Wabunge wetu waende Kenya wakajifunze namna ya kuchambua Mikataba, Adani apigwa chini na Seneti!

Wabunge wetu waende Kenya wakajifunze namna ya kuchambua Mikataba, Adani apigwa chini na Seneti!

Ni hilo tu kama itampendeza Spika Tulia basi awapeleke akina Babu Tale hapo Kenya wakapigwe msasa

Mlale Unono 😀
Kenya ufisadi uko juu mno

Mkataba umesainiwa wa kimataifa halafu local court inavunja mkataba

Hiyo pesa ya kuvunja mkataba Kenya italipa mamilioni ya dola mafisadi na huyo mwekezaji wagawane pesa za kigeni
Wanajua kabisa mahakama za biashara za kimataifa Kenya itashindwa na mwekezaji atalipwa millions of dollars kuvunja mkataba wagawane

Hiyo kesi ni ya kifisadi tu watu wapige pesa
 
Kenya ufisadi uko juu mno

Mkataba umesainiwa wa kimataifa halafu local court inavunja mkataba

Hiyo pesa ya kuvunja mkataba Kenya italipa malilioni ya dola mafisadi na huyo mwekezaji wagawane pesa za kigeni
Wanajua kabisa mahakama za biashara za kimataifa Kenya itashindwa na mwekezaji atalipwa millions of dollars kuvunja mkataba wagawane

Hiyo kesi ni ya kifisadi tu watu wapige pesa
Unaelewa maana ya Seneti? 😂😂
 
Unaelewa maana ya Seneti? 😂😂
Naelewa mikataba ya biashara za kimataifa huamriwa na mahakana za kimataifa sio bunge la nchi liwe senate or whatever

Hapo Kenya ijiandae kulipa damage ya kuvunja mkataba mamilioni ya dola huo mkataba sio wa mkandarasi wa ndani ya nchi ni wa nje ambaye sheria za mikataba ya kimataifa ya biashara zinamlinda sio local contract laws

Hiyo hukumu ya kifisadi mafisadi wapige pesa stay tuned uone hatua hiyo kampuni ya mwekezaji itachukua

Hiyo ni movie ya mafisadi wakwapue pesa z kigeni za Kenya kwa kesi feki

Wafaini hiyo ni organised crime ya kuiba hela za kigeni za wananchi
 
Kenya ufisadi uko juu mno

Mkataba umesainiwa wa kimataifa halafu local court inavunja mkataba

Hiyo pesa ya kuvunja mkataba Kenya italipa malilioni ya dola mafisadi na huyo mwekezaji wagawane pesa za kigeni
Wanajua kabisa mahakama za biashara za kimataifa Kenya itashindwa na mwekezaji atalipwa millions of dollars kuvunja mkataba wagawane

Hiyo kesi ni ya kifisadi tu watu wapige pesa
Kama ufisadi Kenya uko juu basi hapa Tanzania Uko juu zaidi yao. Wao wana Bahati wana Wabunge na Mahakama zinazojitambua na kujitegemea. Hapa kwetu Bongo Awamu hii Ruksa Kila Mtu Kula kwa Urefu wa Kamba Yake. Hata huwezi kusikia mambo haya yakitajwa wala kukemewa na wenye Mamlaka, Heri kipindi cha Jembe ! Watendaji walafi walikuwa wakitumbuliwa bila hata kupata kwanza Ganzi.
 
Ni hilo tu kama itampendeza Spika Tulia basi awapeleke akina Babu Tale hapo Kenya wakapigwe msasa

Mlale Unono 😀
labda wakajifunze ukabila mikataba ni unafiki tu Kenya..

unafahamu mkataba wa kimwarer dam na ule wa sgr?

unafamu mkataba wa mbolea fake uliomtia matatani na akataka kubanduliwa na bunge waziri wa kilimo Mithika Linturi?

wakajifunze mikataba mibovu na ya hovyo hovyo inayo nuka rushwa anayo ibainisha waziri wa madini Ali Hassan Joho?

au wakajifunze mikataba na matumizi babaya ya mamlaka kwa mfano yanayomfanywa Governor Kawira Mwangaza ambae kwa mara ya3 sasa ananusurika kua impeached..

nadhani cha kujifunza kenya ni ukabila na kununua chopa binafsi kwa rushwa 🐒
 
labda wakajifunze ukabila mikataba ni unafiki tu Kenya..

unafahamu mkataba wa kimwarer dam na ule wa sgr?

unafamu mkataba wa mbolea fake uliomtia matatani na akataka kubanduliwa na bunge waziri wa kilimo Mithika Linturi?

wakajifunze mikataba mibovu na ya hovyo hovyo inayo nuka rushwa anayo ibainisha waziri wa madini Ali Hassan Joho?

au wakajifunze mikataba na matumizi babaya ya mamlaka kwa mfano yanayomfanywa Governor Kawira Mwangaza ambae kwa mara ya3 sasa ananusurika kua impeached..

nadhani cha kujifunza kenya ni ukabila na kununua chopa binafsi kwa rushwa 🐒
Hakuna Mikataba Mibovu Kenya , ndo maana unaona inavunjwa na mingine kurudiwa kama kuna waliokula rushwa katika kuipitisha, wao wana Vyombo na Mihimili inyojitegemea na yenye Meno, siyo kama kwetu huku. Wanachi pia ndo wenye Mamlaka ya mwisho wakikataa jambo haliendi mbele. Uliona Serikali ilivyofyata Mkia kwenye Ubinafsishaji wa Bandari ya Mombasa na sasa Uwanja wa Ndege wa JKI Nairobi? Kwetu DP ilihonga iklpata Bandari zetu zote regardless ya kelele zote hizi kuonyesha madhaifu , pasipo kuwa na ridhaa ya wananchi Serikali ikaziba masikio kama Chura Viziwi.
 
Hakuna Mikataba Mibovu Kenya , ndo maana unaona inavunjwa na mingine kurudiwa kama kuna waliokula rushwa katika kuipitisha, wao wana Vyombo na Mihimili inyojitegemea na yenye Meno, siyo kama kwetu huku. Wanachi pia ndo wenye Mamlaka ya mwisho wakikataa jambo haliendi mbele. Uliona Serikali ilivyofyata Mkia kwenye Ubinafsishaji wa Bandari ya Mombasa na sasa Uwanja wa Ndege wa JKI Nairobi? Kwetu DP ilihonga iklpata Bandari zetu zote regardless ya kelele zote hizi kuonyesha madhaifu , pasipo kuwa na ridhaa ya wananchi Serikali ikaziba masikio kama Chura Viziwi.
labda unazungumzia kenya ya nje ya East Africa,
Mikataba nilioitaja umeiskia au umeiona? na nani wa kumfunga paka kengele kati yao?

na uliskia masula ya yule governor wa machakos ana bilioni mia6 za Kenya huko uingereza?🐒

au ndio ile kukingia kifua na kutamani mambo ya hovyo hovyo ya mwenzio wewe unaona ndio sawa yafanyike kwako, useless kabisa 🤣
 
labda wakajifunze ukabila mikataba ni unafiki tu Kenya..

unafahamu mkataba wa kimwarer dam na ule wa sgr?

unafamu mkataba wa mbolea fake uliomtia matatani na akataka kubanduliwa na bunge waziri wa kilimo Mithika Linturi?

wakajifunze mikataba mibovu na ya hovyo hovyo inayo nuka rushwa anayo ibainisha waziri wa madini Ali Hassan Joho?

au wakajifunze mikataba na matumizi babaya ya mamlaka kwa mfano yanayomfanywa Governor Kawira Mwangaza ambae kwa mara ya3 sasa ananusurika kua impeached..

nadhani cha kujifunza kenya ni ukabila na kununua chopa binafsi kwa rushwa 🐒
Sahihi
 
Kenya ufisadi uko juu mno

Mkataba umesainiwa wa kimataifa halafu local court inavunja mkataba

Hiyo pesa ya kuvunja mkataba Kenya italipa mamilioni ya dola mafisadi na huyo mwekezaji wagawane pesa za kigeni
Wanajua kabisa mahakama za biashara za kimataifa Kenya itashindwa na mwekezaji atalipwa millions of dollars kuvunja mkataba wagawane

Hiyo kesi ni ya kifisadi tu watu wapige pesa
Unafanyaje negotiations baada ya kusaini mkataba? Hamna mkataba uliokuwa signed. Wabunge wanapinga mapendekezo ya Adani. Wabunge wamefanya due diligence na kugundua kuwa Adani ana makandokando mengi. Wametimiza wajibu wao. Adani hawezi kushtaki popote maana hana mkataba na serikali ya Kenya.

Amandla...
 
Kazi sanaaaa Tanzania na bunge letu halielewekiiii
 
Back
Top Bottom