wabunge wetu wanatunga sheria au wanapitisha sheria na kama wanatunga je, wanazo sifa za kutunga?

wabunge wetu wanatunga sheria au wanapitisha sheria na kama wanatunga je, wanazo sifa za kutunga?

jacksonmjuni

Member
Joined
Jul 24, 2011
Posts
6
Reaction score
1
Naomba kuelimishwa juu ya hivi kweli sifa za kuwa mbunge zilizoainishwa kwa mujibu wa katiba yetu, zinajitosheleza kumpa mbuge uwezo wa kutunga sheria?
 
Naomba kuelimishwa juu ya hivi kweli sifa za kuwa mbunge zilizoainishwa kwa mujibu wa katiba yetu, zinajitosheleza kumpa mbuge uwezo wa kutunga sheria?
Ibara ya 64 kifungu cha 1 KYJMT inatoa hiyo 'mandate' ya kutunga sheria...Ibara ya 67 kifungu cha kwanza 1 (a)-(c) inataja sifa za kuchaguliwa kuwa mbunge, kujibu swali lako ni kuwa mbunge hachaguliwi kutunga sheria tu...rejea kazi za bunge kwenye Ibara ya 63 kifungu cha 3 (a)-(d)..
Hivyo nadhani kwa mujibu wa katiba hiyo haina utata..
 
Back
Top Bottom