Wabunge wote wa Kagera hakuna aliyetoa hoja za Ujenzi wa stendi, soko kuu wala fidia kwa wahanga wa tetemeko

Wabunge wote wa Kagera hakuna aliyetoa hoja za Ujenzi wa stendi, soko kuu wala fidia kwa wahanga wa tetemeko

ichumu lya

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2016
Posts
2,651
Reaction score
2,790
Wabunge wote wa Kagera hakuna aliyetoa hoja za Ujenzi wa syend, soko kuu wala fidia kwa wahanga wa tetemeko wote wameishia kushukuru kama kawaida yao lakini pia uongozi wa mkoa uongozi wa mkoa walimzui Rais kusimama kusalimia wana Bukoba waliokuwa wanamsubiri stend alipita kasi ali iliyowashangaza wengi na kugoma kwenda uwanjani Kaitaba kama wasingesomba wanafunzi na watu wa mawilayani angehutubia nyasi.

Rais kaondoka akiwa amegawa ardhi kubwa ya Missenyi na Kyerwa kwa wawekezaji wa Kagera sukar kibaya zaidi kagawa na sehemu kubwa ya lunch ya Kitengure.

Bila Katiba mpya Rais ataendelea kugawa ardhi yetu na kutuachia migogoro nchini.

Nasikia ngorongoro wanawindana sasa migogoro ya ardhi ikipamba moto nchi nzima Rais atakuwa wa kwanza kukimbia nchi.

Ata hivyo Kagera hatuna faida na kiwanda cha sukari cha Kagera sugar tunauziwa sukari bei sawa na mtu wa Dar na katavil bei ya sukari ni sh.3000/ lakini bei ya sement sh, 21, 000/ ujio wa Rais Kagera imekuwa ni hasara kubwa.
 
Wahaya ni watu wa ajabu sana...ujuaji na ubinafsi ndio unaoharibu mambo yao....mama yangu mzazi ni muhaya aisee sio siri wakuu napata tabu sana kumuelewesha baadhi ya mambo yaani mpaka mishipa ya koo inanisimama lakini wapi ngoma ngumu....
 
Wahaya ni watu wa ajabu sana...ujuaji na ubinafsi ndio unaoharibu mambo yao....mama yangu mzazi ni muhaya aisee sio siri wakuu napata tabu sana kumuelewesha baadhi ya mambo yaani mpaka mishipa ya koo inanisimama lakini wapi ngoma ngumu....
Lkn ndio mkoa uliotoa wasomi wengi. Inawezekana umechukia vinasaba vya ujinga toka kwa babako
 
Wabunge wote wa Kagera hakuna aliyetoa hoja za Ujenzi wa syend, soko kuu wala fidia kwa wahanga wa tetemeko wote wameishia kushukuru kama kawaida yao lakini pia uongozi wa mkoa uongozi wa mkoa walimzui Rais kusimama kusalimia wana Bukoba waliokuwa wanamsubiri stend alipita kasi ali iliyowashangaza wengi na kugoma kwenda uwanjani Kaitaba kama wasingesomba wanafunzi na watu wa mawilayani angehutubia nyasi.
Rais kaondoka akiwa amegawa ardhi kubwa ya Missenyi na Kyerwa kwa wawekezaji wa Kagera sukar kibaya zaidi kagawa na sehemu kubwa ya lunch ya Kitengure.

Bila Katiba mpya Rais ataendelea kugawa ardhi yetu na kutuachia migogoro nchini.

Nasikia ngorongoro wanawindana sasa migogoro ya ardhi ikipamba moto nchi nzima Rais atakuwa wa kwanza kukimbia nchi.

Ata hivyo Kagera hatuna faida na kiwanda cha sukari cha Kagera sugar tunauziwa sukari bei sawa na mtu wa Dar na katavil bei ya sukari ni sh.3000/ lakini bei ya sement sh, 21, 000/ ujio wa Rais Kagera imekuwa ni hasara kubwa.
wabunge ni wazee wa kusifu na kuabudu, msiwategemee sana
 
Wahaya ni watu wa ajabu sana...ujuaji na ubinafsi ndio unaoharibu mambo yao....mama yangu mzazi ni muhaya aisee sio siri wakuu napata tabu sana kumuelewesha baadhi ya mambo yaani mpaka mishipa ya koo inanisimama lakini wapi ngoma ngumu....
wanajipa moyo tu ili maisha yasonge
 
Back
Top Bottom