johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kiukweli wabunge Wote wa Sasa ni Wateule wa Shujaa Magufuli hakuna aliyechaguliwa na wananchi
Wapumzike Sasa tupate Bunge Jipya kabisa tukatawale Siasa za Africa Mashariki
Hata Mpango wa kumteua Mbowe kuwa Mbunge wa Viti Maalum kama Mbatia na Mrema usitishwe
Ahsanteni sana ๐
Wapumzike Sasa tupate Bunge Jipya kabisa tukatawale Siasa za Africa Mashariki
Hata Mpango wa kumteua Mbowe kuwa Mbunge wa Viti Maalum kama Mbatia na Mrema usitishwe
Ahsanteni sana ๐