Wabunge wote wasiotaka posho iongezwe na wajitoe katika mchakato

Wabunge wote wasiotaka posho iongezwe na wajitoe katika mchakato

nzom

Senior Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
180
Reaction score
31
Naomba kutoa maoni yangu,

Kwa sababu mara ya kwanza ilipendekezwa laki 7 ila tukapiga kelele kumbe nia yao ilikua hizo.Sasa naomba Julias Mtatiro na wengine mnajua Tanzania ni masikini kama watalazimisha kuongezewa posho hao wasio na huruma na muwe wa kwanza kujiondoa,na kama akibaki ndani hata hoja hazitakubaliwa.

Nionavyo mimi kwao sio katiba ila maslahi zaidi, mtaonekana wazalendo na kujenga heshima kubwa.
 
Naomba kutoa maoni yangu kwa sababu mara ya kwanza ilipendekezwa lako 7 ila tukapiga kelele kumbe nia yao ilikua hizo.sasa naomba julias mtatiro na wengine mnajua tanzania ni masikini kama watalazimisha kuongezewa posho hao wasio na huruma na muwe wa kwanza kujiondoa.na kama mkibaki ndani hata hoja hazitakubaliwa.nionavyo mimi kwao sio katiba ila maslahi zaidi mtaonekana wazalendo na kujenga heshima kubwa
Si rahisi kujitoa kwa kuwa na wao njaa zinawasumbua! Bila hili zimwi CCM kung'oka, hakuna atakayesalimika.http://www.goodreads.com/author/show/4491185.Steve_Maraboli
 
This won't go father its our nation what are they figthing for
 
Hapa CCM itasema kelele za mpangaji azimsumbui mwenye nyumba.
 
kutatua tatizo sio kulikimbia tatizo.Tumia akili kidogo haihitaji mpaka uvae joho
 
Naomba kutoa maoni yangu kwa sababu mara ya kwanza ilipendekezwa lako 7 ila tukapiga kelele kumbe nia yao ilikua hizo.sasa naomba julias mtatiro na wengine mnajua tanzania ni masikini kama watalazimisha kuongezewa posho hao wasio na huruma na muwe wa kwanza kujiondoa.na kama mkibaki ndani hata hoja hazitakubaliwa.nionavyo mimi kwao sio katiba ila maslahi zaidi mtaonekana wazalendo na kujenga heshima kubwa

naunga mkono
 
badala ya kuzungumzia katiba wako kwenye posho awa ni wanafiki wakubwa inabidi watanzania tuwaraani na kuwakemea asiyekubari lakitatu aondoke dodoma au mkuu wa nchi afute uteuzi waoo...
 
Back
Top Bottom