Kwahiyo unachotaka kusema hapa ni kwamba hao COVID 19 wanalindwa na kina MBOWE?Nawe kwa busara zako unaamini kwa dhati kuwa Chadema - iliyosheheni wanasheria kadhaa wabobevu - hawajui kuhusu hilo unaloshauri? Confidence ya akina Halima Mdee wanaipata ndani ya Chadema na sio kwa NEC wala Ndugai.
wanaweza kuwashtaki sababu ni wabunge hewa kwa mwamvuli wa CHADEMAChadema wafungue mashtaka ya nini, wao walishamaliza kwa KUWAFUKUZA Uanachama, sio wanachama wao watawashtaki kama nani? Ni hao wabunge ndio wamekata rufaa na kwa kimya hiki cha Chadema ni kuwa rufaa yao haikufanikiwa! kama ni kushtaki basi ni sisi wananchi tunaowalipa mshahara a posho kule bungeni!
Haiwezekani kushirikiana na msalitiKafanye kazi kijana na achana na hawa wabunge 19! Chadema kama chama kikuu kinalilia maridhiano ya kitaifa na chama tawala na serikali yake kinashindwa nini kuridhiana na wabunge hawa kwa kuwasamehe? Kwani wabunge hawa wameua mtu? Chadema iache kushupaza shingo, iache mambo yaendelee!
tena alimuita katibu bwana mdogo aliyekwenda chadema na kandambili yaani aisee halkafu jamaa hajawahi kuijibu hiyo wana cofidence kubwa tuChadema mchezo wote wanaufahamu kama ingekuwa kweli ni maamuzi ya chama hao wabunge covid 19 wangeshashtakiwa na hatua zingeshachukuliwa,hiyo ishu viongozi wa chadema wanafahamu rejea maneno ya mzee Halima alisema wanabaraka za mwenyekiti na akamdhihaki katibu mkuu Mnyika kwa kumuita bwana mdogo.