Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NitafsirieSisi bado tunahangaika na vitoweo.Mara kasa,mara bunju!
Kuna watu wamenusurika kufa huko Pemba kwa kula samaki aina ya bunju. Pia huko huko last year kuna waliokufa na wengine kunusurika baada ya kula kasa.Nitafsirie
Ok ahsante...ila masuala ya birthday yanahusikaje?Kuna watu wamenusurika kufa huko Pemba kwa kula samaki aina ya bunju. Pia huko huko last year kuna waliokufa na wengine kunusurika baada ya kula kasa.
Kind of food poisoning.
Huyo ana relate mambo ya kijinga yanayoendelea nchini (kama hilo la birthday ya rais kuwa publicized kama vile ni shughuli ya kiserikali) na mambo wanayofanya wenzetu kwa mfano frontline huko Ukraine ambako kuna mgogoro unaoweza kupelekea vita ya tatu ya dunia kati ya Ukraine (akisaidiwa na NATO) vs Russia.Ok ahsante...ila masuala ya birthday yanahusikaje?
Bado natamani niendelee kuuliza ila wacha niishie hapa. Shukrani [emoji120][emoji120]Huyo ana relate mambo ya kijinga yanayoendelea nchini (kama hilo la birthday ya rais kuwa publicized kama vile ni shughuli ya kiserikali) na mambo wanayofanya wenzetu huko frontline Ukraine ambako kuna mgogoro unaoweza kupelekea vita ya tatu ya dunia kati ya Ukraine (akisaidiwa na NATO) vs Russia.
So anajaribu kulinganisha vile tulivyo katika dunia mbili tofauti na wenzetu.
Unaruhusiwa kuendelea dada wala usijali.Bado natamani niendelee kuuliza ila wacha niishie hapa. Shukrani [emoji120][emoji120]
Hapana inatosha mdogo wanguUnaruhusiwa kuendelea dada wala usijali.
Mambo makubwa hatuhangaiki nayo.Tumewaachia "wazungu"!Sisi hata uchaguzi wa vyakula salama hatuwezi!Nitafsirie
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Mambo makubwa hatuhangaiki nayo.Tumewaachia "wazungu"!Sisi hata uchaguzi wa vyakula salama hatuwezi!
-Igunga:watu kadhaa wamekufa kwa kula uyoga wenye sumu.
-Pemba:watu kadhaa wamekufa kwa kula kasa na wengine madhara ya kiafya kwa kula bunju.