Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
Habari za asubuhi.
Mi huwa naweka mada hapo ili mradi ujumbe ufike. Kusomwa tu inatosha, hivyo wahusika wakiupata, wataufanyia kazi.
Sitakuwa specific ila nawaongelea hawa waswahili wanaotukuza race zingine. Mtu anaongea, tena in public ambapo ujumbe unafika mbali, kwamba katoto kazuri kama kasomali. Mara pua ya kisomali. Mara rangi ya mtume. Mara kaarabu flani. Mara ana asili ya kihindi, nk.
Hivi hao wahusika wanaotajwa wanawaonaje nyie waswahili? Ifike muda na wakati taasisi na mamlaka husika zitoe elimu ya utambuzi na ufahamu kuhusu kujikubali na kuwa wazalendo
Mi huwa naweka mada hapo ili mradi ujumbe ufike. Kusomwa tu inatosha, hivyo wahusika wakiupata, wataufanyia kazi.
Sitakuwa specific ila nawaongelea hawa waswahili wanaotukuza race zingine. Mtu anaongea, tena in public ambapo ujumbe unafika mbali, kwamba katoto kazuri kama kasomali. Mara pua ya kisomali. Mara rangi ya mtume. Mara kaarabu flani. Mara ana asili ya kihindi, nk.
Hivi hao wahusika wanaotajwa wanawaonaje nyie waswahili? Ifike muda na wakati taasisi na mamlaka husika zitoe elimu ya utambuzi na ufahamu kuhusu kujikubali na kuwa wazalendo