Mchaga aliamua kufungua bustani ya
wanyama akafanya kiingilio 10,000/=
hakuna aliyeingia akashusha 5,000/=
pia hakuna aliyeingia akashusha tena
2,000/= hakuna aliyeingia akashusha
1,000 pia hakuna aliyeingia akaamua kufanya bureeeee watu wakaingia na
walikua wengi mno akafungulia Simba
mmoja akafanya bei ya kutokea nje ni
20,000/=@
ALIKUSANYA HELA KAMA
MCHANGA! [HASHTAG]#WACHAGA[/HASHTAG] HATUPENDAGI UJINGA KABISA