Wachaga kwa kupenda biashara ni noma.

Wachaga kwa kupenda biashara ni noma.

hazole1

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
4,319
Reaction score
3,916
bdfa26e874b151108b897ffcf94fa14f.jpg
 
Ukitaka kumweza mchaga, fika dukani kwake asubuhi alafu alafu ulizia kitu ambacho hana mfano supu. Siku ya pili yake uliza tena km ana supu, atakujibu hana. Siku ya tatu mwulize tena km ana supu. Siku ya nne mwulize km ana supu atakujibu anayo utashangaa ashafungua biashara ya supu mbele ya duka lake
 
Hahahaha!! Mkuu huwa tunasemaga ni saa sita cash....Maana yake ni saa sita kamili!!
Kama ni kasoro utasikia ni saa sita kasoro chenchi kidogo
there you are
 
  • Thanks
Reactions: ydn
Ukitaka kumweza mchaga, fika dukani kwake asubuhi alafu alafu ulizia kitu ambacho hana mfano supu. Siku ya pili yake uliza tena km ana supu, atakujibu hana. Siku ya tatu mwulize tena km ana supu. Siku ya nne mwulize km ana supu atakujibu anayo utashangaa ashafungua biashara ya supu mbele ya duka lake
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom