Tetesi: Wachaga kwenda kwao mwezi 12 kuna faida gani kiuchumi kwa mkoa Kimambolimanjaro?

Tetesi: Wachaga kwenda kwao mwezi 12 kuna faida gani kiuchumi kwa mkoa Kimambolimanjaro?

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Kila mwaka nikiwa kilimanjaro nahisi naona wachaga wanaspend zaidi ya miezi mingine. Zamani nilikua najua wanao spend pesa zaidi ji wale waliotoka Dar lakini nimegundua siyo.

Nimetafakari nimekuja na option mbili ambazo sina uhakika.

1. Wachaga wa dar hutanguliza fedha kabla ya kwenda ili ndugu zao waandae mbuzi etc.

2. Wachaga wa kilimanjaro huweka akiba kwa ajili ya kuwakaribisha ndugu zao wanapo kuja kula chrismass.

Natafuta nijue huu utataribu wa wachaga kwenda kwao unafaidisha vipi mkoa wa kilimanjaro.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mwaka nikiwa kilimanjaro nahisi naona wachaga wanaspend zaidi ya miezi mingine. Zamani nilikua najua wanao spend pesa zaidi ji wale waliotoka Dar lakini nimegundua siyo.

Nimetafakari nimekuja na option mbili ambazo sina uhakika.

1. Wachaga wa dar hutanguliza fedha kabla ya kwenda ili ndugu zao waandae mbuzi etc.

2. Wachaga wa kilimanjaro huweka akiba kwa ajili ya kuwakaribisha ndugu zao wanapo kuja kula chrismass.

Natafuta nijue huu utataribu wa wachaga kwenda kwao unafaidisha vipi mkoa wa kilimanjaro.



Sent using Jamii Forums mobile app
Family harmony, mapumziko baada ya mwaka mzima which is good kwa afya ya mwili na afya ya akili. Vocation yoyote worldwide haziwi na malengo ya faida za kiuchumi japo wakutanapo wengi hubadilishana experience mbalimbali na kuongezana maarifa licha ya kuwa malengo hasa huwa ni kupumzika na ndugu kukutana kujuliana hali.
Wewe umezungumzia wa Dar tu ila wapo wa Nairobi(Kenya in general) kuna wa Southern African countries(mostly Doctors) na wa Overseas japo hawa hawaji kwa wingi.
Kwahiyo ndugu lengo ni mapumziko na kuona kama kuna projects za kufanya au kuendeleza na hata kuulizana kwa wale wanaooneka wanasuasua kinachowasibu ni nini na kuangalia jinsi ya kuwasaidia.
 
Kila mwaka nikiwa kilimanjaro nahisi naona wachaga wanaspend zaidi ya miezi mingine. Zamani nilikua najua wanao spend pesa zaidi ji wale waliotoka Dar lakini nimegundua siyo.

Nimetafakari nimekuja na option mbili ambazo sina uhakika.

1. Wachaga wa dar hutanguliza fedha kabla ya kwenda ili ndugu zao waandae mbuzi etc.

2. Wachaga wa kilimanjaro huweka akiba kwa ajili ya kuwakaribisha ndugu zao wanapo kuja kula chrismass.

Natafuta nijue huu utataribu wa wachaga kwenda kwao unafaidisha vipi mkoa wa kilimanjaro.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mr Tabutupu umewahi kujiuliza na wale wasioenda makwao wanaacha faida kiasi gani kwao ??!!.

Kwenda tu nyumbani kuona wazee ni faida, kama mtu una uchumi na huwezi Ku share na wazazi faida gani ?!

P ili miradi mingi kama ya ujenzi na mashamba nyumbani, wahusika hukagua maendeleo hayo personally bila uwakilishi. Mimi nawasapoti kwani hata kwetu utamaduni huo upo japo si mkubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mwaka nikiwa kilimanjaro nahisi naona wachaga wanaspend zaidi ya miezi mingine. Zamani nilikua najua wanao spend pesa zaidi ji wale waliotoka Dar lakini nimegundua siyo.

Nimetafakari nimekuja na option mbili ambazo sina uhakika.

1. Wachaga wa dar hutanguliza fedha kabla ya kwenda ili ndugu zao waandae mbuzi etc.

2. Wachaga wa kilimanjaro huweka akiba kwa ajili ya kuwakaribisha ndugu zao wanapo kuja kula chrismass.

Natafuta nijue huu utataribu wa wachaga kwenda kwao unafaidisha vipi mkoa wa kilimanjaro.



Sent using Jamii Forums mobile app
We huendagi kwenu mkuu!

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wengine wakishatusua mjini kurudi ma kwao ni ishu labda wakishafariki wanarudishwa bila kupenda
 
Back
Top Bottom