Naamini huu ni mwaka wa mwisho kuongelea makalio jamani!
InakeraKuna watu akili zao wamewekeza kwebye makalio my dear, usitegemee wakome kuongelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Sanchi kanyimwa kalio? Analo kubwa kuliko hapo kwenu wote na hajisifii ni mchagga.Hawa wenzetu kuna sifa moja inawanyemelea, hawa jamaa ukiniuliza kabila linalopenda sifa hapa Tanzania basi nitakuanzia na wachaga alafu ntafatisha Wahaya.
Siku hizi hawa wenzetu kama ni kupenda hela na kizitafta kila mtu anapenda na anatafta ila Wachaga wachache waliokuja mjini ambao nao ni sawa na akina Nshomile wachache waliosoma, basi wanajiona maisha wameyapatia.
wanapenda sifa haijawai kutokea na kama mtu ni mchaga anataka ajulikane alipo kwamba yeye ni Mchaga, na mungu ni mkubwa mademu wa Kichaga kawanyima makalio[emoji3][emoji3].
punguzeni misifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini kawapa pumzi na uhai kma wale wenye makalio[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ukitaja ni mchagga bhasi shobo nyingi sana utadhani tumetokea Malibu, States.
Mnaboa, punguzeni kutuongelea mnatupa airtime tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu akili zao wamewekeza kwebye makalio my dear, usitegemee wakome kuongelea
Sent using Jamii Forums mobile app