Wachaga misifa

Wachaga walikuwa zamani.

Siku hizi wachaga na wanakyusa wameharibika kwa pombe, bange na ugoro !

Wamebaki kujisifia sifia ili waonekane lakini wapi.
 
Sio wote hawana makalio, wachaga wamegawanyika katika makundi tofauti ingawaje wanaunganishwa na baadhi ya sifa na tamaduni, hawafanani kwani kuna wengine Makalio yapo tena Makubwa tuu ila wengine wao ni weupe, kwahiyo usijumuishe wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…