Wachaga ni moja ya kabila lenye dialects nyingi Tanzania

Wachaga ni moja ya kabila lenye dialects nyingi Tanzania

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Zifuatazo ni dialects za lugha ya Kichagga nyingine zinaendana
  • Kirombo
  • Kimarangu
  • Ki-uru
  • Kikibosho
  • Kimachame
  • Kisanya

Lugha zifuatazo zinauhusiano mkubwa sana na lugha za kichaga japokua wanajihesabia sio Wachagga.
  • Kimeru
  • Kigweno
Mfano: Msanya ni ngumu sana kumsema Mmeru, na Mmarangu ni ngumu sana kumsema Mgweno.
 
Mkuu nakushauri ukasome upya maana ya dialect kwa tafsiri nyepesi dialect ni utofauti mdogo mdogo unaotokea ktk matumizi ya lugha moja miongoni mwa watumiaji wa lugha hiyo.

Utofauti huo unaweza kuwa wa kimatamshi au kimisamiati au kimaana.

Mfano mzuri ni kiingereza,akizungumza mtu wa England ataeleweka na watumiaji wote wa kiingereza mfano mmarekani, mnaijeria na East Africa, South Africa nk. japo viingereza vyao havifanani hasa kwenye matamshi.Katika hali hiyo tunasema hizo dialect ni mutual intelligible kwa maana wanaelewana.

Kwa uchagani ni tofauti sana, mimi ni mkibosho na nakijua vizuri,akitokea mtu wa Rombo siwezi kumuelewa kabisa wala yeye hawezi kunielewa. Vivyo hivo Msiha na Mrombo au Mkibosho hawawezi kuelewana kabisa utofauti ni mkubwa mnoo. Tunaweza kusema ni lugha tofauti kabisa zinazotumika miongoni mwa Wachaga
 
Wachagga ni Taifa lenye makabila ya Rombo, Kibosho, Machame, Marangu nk.

Jina "Chagga" lilitokana na jina "kichaka" yaani watu walifyeka msitu na kuishi humo. Waswahili wakawatambulisha kwa Wakoloni kwamba hawa ni 'wachaka' yaani wanakaa vichakani.

Basi jina likazoeleka "Wachagga".

Kimsingi, mwanzoni jina "Wachagga" halikuwepo bali majina yaliyokuwepo ni Wamachame, Wakibosho, Wamarangu, Warombo, Wauru, Wamoshi nk. Na kila kabila lilikuwa na himaya yake na pia palikuwepo Mangi Mkuu ambaye alikuwa Kiongozi Mkuu.

Mpaka mwaka 1958, himaya ya Wachagga ilikuwa na bendera yake ambayo kwa Sasa ni bendera ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi. Pia ilikuwa na ikulu, ambayo ndiyo ikulu ndogo kwa sasa ya mkoa.

Pia palikuwa na Gazeti la Konkya, majengo ya utawala(kwa Sasa yanatumiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Moshi).

Pia palikuwepo na Chagga Democratic Party (CDP), na Kilimanjaro Development Council (Baraza la Maendeleo la Mkoa).

Mimi kwa maoni yangu, Wachagga siyo kabila bali ni Taifa dogo ndani ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hivyo yaani!
 
Wachagga ni Taifa lenye makabila ya Rombo, Kibosho, Machame, Marangu nk.

Jina "Chagga" lilitokana na jina "kichaka" yaani watu walifyeka msitu na kuishi humo. Waswahili wakawatambulisha kwa Wakoloni kwamba hawa ni 'wachaka' yaani wanakaa vichakani.

Basi jina likazoeleka "Wachagga".

Kimsingi, mwanzoni jina "Wachagga" halikuwepo bali majina yaliyokuwepo ni Wamachame, Wakibosho, Wamarangu, Warombo, Wauru, Wamoshi nk. Na kila kabila lilikuwa na himaya yake na pia palikuwepo Mangi Mkuu ambaye alikuwa Kiongozi Mkuu.

Mpaka mwaka 1958, himaya ya Wachagga ilikuwa na bendera yake ambayo kwa Sasa ni bendera ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi. Pia ilikuwa na ikulu, ambayo ndiyo ikulu ndogo kwa sasa ya mkoa.

Pia palikuwa na Gazeti la Konkya, majengo ya utawala(kwa Sasa yanatumiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Moshi).

Pia palikuwepo na Chagga Democratic Party (CDP), na Kilimanjaro Development Council (Baraza la Maendeleo la Mkoa).

Mimi kwa maoni yangu, Wachagga siyo kabila bali ni Taifa dogo ndani ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hivyo yaani!
Hapana sio taifa dogo ndani ya Tanzania,sema Ni Mkoa wa Wabantu na wamasai.kama ilivyo mikoa mingine yote,Ni ya Wabantu na Nilo Hamites.Pia kumbuka Musoma ina makabila zaidi ya yalioko Kilimanjaro,jee nayo Ni taifa ndogo ndani ya Tanzania?
 
Mkuu nakushauri ukasome upya maana ya dialect.kwa tafsiri nyepesi dialect ni utofauti mdogo mdogo unaotokea ktk matumizi ya lugha moja miongoni mwa watumiaji wa lugha hiyo.
Utofauti huo unaweza kuwa wa kimatamshi au kimisamiati au kimaana.

Mfano mzuri ni kiingereza,akizungumza mtu wa England ataeleweka na watumiaji wote wa kiingereza mfano mmarekani,mnaijeria na East Africa,South Africa nk,japo viingereza vyao havifanani hasa kwenye matamshi.Katika hali hiyo tunasema hizo dialect ni mutual intelligible kwa maana wanaelewana.

Kwa uchagani ni tofauti sana,mm ni mkibosho na nakijua vizuri,akitokea mtu wa Rombo siwezi kumuelewa kabisa wala yeye hawezi kunielewa.Vivyo hivo Msiha na Mrombo au mkibosho hawawezi kuelewana kabisa utofauti ni mkubwa mnoo.Tunaweza kusema ni lugha tofauti kabisa zinazotumika miongoni mwa wacha

Mkuu nakushauri ukasome upya maana ya dialect.kwa tafsiri nyepesi dialect ni utofauti mdogo mdogo unaotokea ktk matumizi ya lugha moja miongoni mwa watumiaji wa lugha hiyo.
Utofauti huo unaweza kuwa wa kimatamshi au kimisamiati au kimaana.

Mfano mzuri ni kiingereza,akizungumza mtu wa England ataeleweka na watumiaji wote wa kiingereza mfano mmarekani,mnaijeria na East Africa,South Africa nk,japo viingereza vyao havifanani hasa kwenye matamshi.Katika hali hiyo tunasema hizo dialect ni mutual intelligible kwa maana wanaelewana.

Kwa uchagani ni tofauti sana,mm ni mkibosho na nakijua vizuri,akitokea mtu wa Rombo siwezi kumuelewa kabisa wala yeye hawezi kunielewa.Vivyo hivo Msiha na Mrombo au mkibosho hawawezi kuelewana kabisa utofauti ni mkubwa mnoo.Tunaweza kusema ni lugha tofauti kabisa zinazotumika miongoni mwa wachaga
Kwanin wote ni kabila moja Kama lugha hamuendani unadhani sababu nin
 
Kwanin wote ni kabila moja Kama lugha hamuendani unadhani sababu nin
Ile dhana ya utengano na kutoingiliana sana ndio imeleta hiyo.Ninaamini zamani sana lugha ilikuwa moja lakini kutokana na kujitenga kila kipande kikaanza ku divert taratibu kutoka kwenye lugha mama mpaka kufikia hatua ya sasa.

Vipande hivi bado vinaonekana ni kabila moja kutokana na tamaduni nyingine
Kuendana
 
Nakubaliana sana na Mmassy JM kuwa wachagga ni umoja wa makabila mengi
sababu ya msingi lugha HAWAELEWANI na baadhi ya mila HUTOFAUTIANA

Kama ilivyo mkoa wa MARA Lugha wanaelewana tena vizuri lakini kabila tofauti mfano
Mwikizu na Mzanaki, Muungurimi, Mwikoma wote wanaitwa kabila lakini hawawezi semana kwa sababu wanasikilizana na ni majirani sana zaidi ilivyo kwa wachagga
 
Wachagga ni Taifa lenye makabila ya Rombo, Kibosho, Machame, Marangu nk.

Jina "Chagga" lilitokana na jina "kichaka" yaani watu walifyeka msitu na kuishi humo. Waswahili wakawatambulisha kwa Wakoloni kwamba hawa ni 'wachaka' yaani wanakaa vichakani.

Basi jina likazoeleka "Wachagga".

Kimsingi, mwanzoni jina "Wachagga" halikuwepo bali majina yaliyokuwepo ni Wamachame, Wakibosho, Wamarangu, Warombo, Wauru, Wamoshi nk. Na kila kabila lilikuwa na himaya yake na pia palikuwepo Mangi Mkuu ambaye alikuwa Kiongozi Mkuu.

Mpaka mwaka 1958, himaya ya Wachagga ilikuwa na bendera yake ambayo kwa Sasa ni bendera ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi. Pia ilikuwa na ikulu, ambayo ndiyo ikulu ndogo kwa sasa ya mkoa.

Pia palikuwa na Gazeti la Konkya, majengo ya utawala(kwa Sasa yanatumiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Moshi).

Pia palikuwepo na Chagga Democratic Party (CDP), na Kilimanjaro Development Council (Baraza la Maendeleo la Mkoa).

Mimi kwa maoni yangu, Wachagga siyo kabila bali ni Taifa dogo ndani ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hivyo yaani!
hayo maoni uliomalizia chini ni "mgando" kabisa

vp bwashee wewe ni 'Mchakka'??
 
Ndo maana ujanja ujanja mwingi, wizi, utapeli na mambo kama hayo.
 
Wachagga ni Taifa lenye makabila ya Rombo, Kibosho, Machame, Marangu nk.

Jina "Chagga" lilitokana na jina "kichaka" yaani watu walifyeka msitu na kuishi humo. Waswahili wakawatambulisha kwa Wakoloni kwamba hawa ni 'wachaka' yaani wanakaa vichakani.

Basi jina likazoeleka "Wachagga".

Kimsingi, mwanzoni jina "Wachagga" halikuwepo bali majina yaliyokuwepo ni Wamachame, Wakibosho, Wamarangu, Warombo, Wauru, Wamoshi nk. Na kila kabila lilikuwa na himaya yake na pia palikuwepo Mangi Mkuu ambaye alikuwa Kiongozi Mkuu.

Mpaka mwaka 1958, himaya ya Wachagga ilikuwa na bendera yake ambayo kwa Sasa ni bendera ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi. Pia ilikuwa na ikulu, ambayo ndiyo ikulu ndogo kwa sasa ya mkoa.

Pia palikuwa na Gazeti la Konkya, majengo ya utawala(kwa Sasa yanatumiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Moshi).

Pia palikuwepo na Chagga Democratic Party (CDP), na Kilimanjaro Development Council (Baraza la Maendeleo la Mkoa).

Mimi kwa maoni yangu, Wachagga siyo kabila bali ni Taifa dogo ndani ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hivyo yaani!
Na KNCU ilikuwa imara sana
 
Zifuatazo ni dialects za lugha ya kichaga nyingine zinaendana
Kirombo
Kimarangu
Ki-uru
Kikibosho
Kimachame
Kisanya

Lugha zifuatazo zinauhusiano mkubwa sana na lugha za kichaga japokua wanajihesabia sio wachaga
Kimeru
Kigweno
Mfano msanya ni ngumu sana kumsema mmeru, na mmarangu ni ngumu sana kumsema mgweno
Mkuu hakuna kabila la KICHAGA
 
Wachagga ni Taifa lenye makabila ya Rombo, Kibosho, Machame, Marangu nk.

Jina "Chagga" lilitokana na jina "kichaka" yaani watu walifyeka msitu na kuishi humo. Waswahili wakawatambulisha kwa Wakoloni kwamba hawa ni 'wachaka' yaani wanakaa vichakani.

Basi jina likazoeleka "Wachagga".

Kimsingi, mwanzoni jina "Wachagga" halikuwepo bali majina yaliyokuwepo ni Wamachame, Wakibosho, Wamarangu, Warombo, Wauru, Wamoshi nk. Na kila kabila lilikuwa na himaya yake na pia palikuwepo Mangi Mkuu ambaye alikuwa Kiongozi Mkuu.

Mpaka mwaka 1958, himaya ya Wachagga ilikuwa na bendera yake ambayo kwa Sasa ni bendera ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi. Pia ilikuwa na ikulu, ambayo ndiyo ikulu ndogo kwa sasa ya mkoa.

Pia palikuwa na Gazeti la Konkya, majengo ya utawala(kwa Sasa yanatumiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Moshi).

Pia palikuwepo na Chagga Democratic Party (CDP), na Kilimanjaro Development Council (Baraza la Maendeleo la Mkoa).

Mimi kwa maoni yangu, Wachagga siyo kabila bali ni Taifa dogo ndani ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hivyo yaani!
Jwa hiyo ?
 
Nakubaliana sana na Mmassy JM kuwa wachagga ni umoja wa makabila mengi
sababu ya msingi lugha HAWAELEWANI na baadhi ya mila HUTOFAUTIANA

Kama ilivyo mkoa wa MARA Lugha wanaelewana tena vizuri lakini kabila tofauti mfano
Mwikizu na Mzanaki, Muungurimi, Mwikoma wote wanaitwa kabila lakini hawawezi semana kwa sababu wanasikilizana na ni majirani sana zaidi ilivyo kwa wachagga
Mbona majina ya kichagga yanatumika pote ?
 
Back
Top Bottom