ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Habari za Jua kali Wakazi wa Duaniani.
Kuna mahala nimesikia habari ya kwamba, Katika Tasnia ya Uwekezaji hasa katika passive income ,inayowekezwa Kwa kununua Hisa, Vipande au ,Bond watanzania wengi bado wapo nyuma sana, na ni Jamii moja tu ya Wachaga ambayo ndo Inaonekana ikifanya Vizuri katika Uwekezaji wa namna hiyo nchini, huku makabila mengine yakiwa na ushiriki mdogo.
Wanao ongoza Kwa kuwekeza katika Masoko ya Mitaji yaani UTT, DSE, T bond Kwa Tanzania ni Jamii ya Wahindi, Ikifuatiwa na Jamii ya Waarabu halaf ndo inakuja Jamii ya Wachaga.
Sasa Kwanini Makabila Mengine tusijifunze Kwa wachagga, Kwa maana Inaonekana ni moja ya jamii iliyoshikilia uchumi wa Tanzania
Nadhani Serikali iwekeze zaidi kwenye elimu ya ujasiriamali
Kuna mahala nimesikia habari ya kwamba, Katika Tasnia ya Uwekezaji hasa katika passive income ,inayowekezwa Kwa kununua Hisa, Vipande au ,Bond watanzania wengi bado wapo nyuma sana, na ni Jamii moja tu ya Wachaga ambayo ndo Inaonekana ikifanya Vizuri katika Uwekezaji wa namna hiyo nchini, huku makabila mengine yakiwa na ushiriki mdogo.
Wanao ongoza Kwa kuwekeza katika Masoko ya Mitaji yaani UTT, DSE, T bond Kwa Tanzania ni Jamii ya Wahindi, Ikifuatiwa na Jamii ya Waarabu halaf ndo inakuja Jamii ya Wachaga.
Sasa Kwanini Makabila Mengine tusijifunze Kwa wachagga, Kwa maana Inaonekana ni moja ya jamii iliyoshikilia uchumi wa Tanzania
Nadhani Serikali iwekeze zaidi kwenye elimu ya ujasiriamali