squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,182
Sio wachagga tu waliopungua watu wengi tuu wamekwenda makwao kuhiji mwisho wa mwakaZa jioni.
Kwa kweli lazima nikiri siku tatu hizi yaani juzi, jana na leo foleni Dar zipo ila zinatembea. Kuna trafiki tulimuuliza kiutani akasema gari zimepungua barabarani hivyo kusababisa foleni angalau kusogea na sababu kubwa ni wachaga kukimbia mji na gari zao.
Mi nawaombeni mpaki huko huko! Kumbe mko wengi kiasi hiki mjini Dar.