Wachaga waongo

Wachaga waongo

Siku ukimchukua malaya wa kihaya basi utasema wahaya wote malaya.Ole ole wenu wapumbavu,kwani urith wenu ni kwa vizazi na vizazi
 
viroba vibaya

Mkuu sio viroba, ni kweli vipo..kuna aina fulani ya viazi uchagani ambavyo huota na kutambaa juu ya miti na vunatoa kama matunda ambayo yanaliwa, pia shina lake nalo linaliwa...wamachame wanaita '' fibere''..., viko aina mbili...ambavyo hutambaa juu sana hadi kwenye miti mikubwa (hivi matunda/viazi vyake ni vitamu) na ambavyo hutambaa kimo cha wastani.. (hivi ni vichungu kama klorokwini na vina umbo dogo tofauti na hivyo vingine...
 
Naomba hizi thread ambazo zinazungumzia ukabila moja kwa moja ziondolewe haraka kama zile za dini. Fanyia kazi hili suala mkuu Invisible.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom