Mzee wa upeo
Member
- Feb 4, 2014
- 26
- 12
Jamani nataka kujua km kunaviazi vinazaliwa juu ya miti, kunamchaga mmoja katupiga fix, harafu kakomaa kweli!
Jamani nataka kujua km kunaviazi vinazaliwa juu ya miti, kunamchaga mmoja katupiga fix, harafu kakomaa kweli!
Moshi kuna viazi fulani lakini sio kama hivi mviringo au vitamu. Vizaliwa juu ya mtiJamani nataka kujua km kunaviazi vinazaliwa juu ya miti, kunamchaga mmoja katupiga fix, harafu kakomaa kweli!
vipo na kwa kimachame vinaitwa "Vipere"
vipo na kwa kimachame vinaitwa "Vipere"
Jamani nataka kujua km kunaviazi vinazaliwa juu ya miti, kunamchaga mmoja katupiga fix, harafu kakomaa kweli!
Jamaa eu nyi nndu wa ajabu deny, eeshi ata kindo akeghegha fo!
viroba vibaya
Kweli wachaga waongo ila hapo hajakudanganya. Viazi vikuu huwa vinatoa mbegu kwenye majani na hutoa viazi vidogovidogo juu vikisambaa kwenye miti juu!
Ndedee nta yewe kuishi kimashami nisha pfoo!! Amba nyi nndu wa ngata!! Yewe kwiishi fibere na nduuya ro?!
Jamaa eu nyi nndu wa ajabu deny, eeshi ata kindo akeghegha fo!
Ndedee nta yewe kuishi kimashami nisha pfoo!! Amba nyi nndu wa ngata!! Yewe kwiishi fibere na nduuya ro?!