Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,551
- 2,153
Newe kwishi roo
Jamani nataka kujua km kunaviazi vinazaliwa juu ya miti, kunamchaga mmoja katupiga fix, harafu kakomaa kweli!
Ni kweli. Niliviona katika kijiji cha Kwamkunambo umachameni
AsaryoJamaa eu nyi nndu wa ajabu deny, eeshi ata kindo akeghegha fo!
Jamani nataka kujua km kunaviazi vinazaliwa juu ya miti, kunamchaga mmoja katupiga fix, harafu kakomaa kweli!
Kwetu tunaita makengereNgoja Waje Waenduru
wa MS,
Nawa tag Urassa,Kimaro,
Massawe,Urio,Mallya,
Lema,Lyimo,
Acha kumdharau hawezi kujishusha kutembea na wahaya bwanaSiku ukimchukua malaya wa kihaya basi utasema wahaya wote malaya.Ole ole wenu wapumbavu,kwani urith wenu ni kwa vizazi na vizazi
unaweza choma piaMachalari tena" nazani bado huvijui.
Nduu ni tofauti na maduma ( soo) zenyewe ni white nduu zina rangi ya njano upishi wake huwa hazimenywi huchemshwa tuu.
Sie tunaviita nduu vichungu lkn nahis ni dawa Kwa miili yetuVipo Mkuu kuna aina mbili kuna hivo ni vichungu hatari kila nikijaribu huwa vinanishinda ila vipo haujadanganywa.
Dah! Nakumbukaga miaka iyo kama amna kitafunwa asubuhi bibi alikuwa anavichemsha tunanywea chai sasa vilivyo vichungu kama clorokwini lkn nahisi ni dawa Kwa miili yetuVipo kweli kule rombo tunaviita VIMAMAYA...VINAFANANA KAMA HIVYO View attachment 1013371View attachment 1013370
Dah elimu? Nakimbuka mbali pia tulikuwa tukienda kukata Majani mtoni unakutana na straberrry unajichumia unajilia uku dar pale kisutu kikontainer kidogo elf tano sijui nirudi kijijiniZile nduu tamu tunaita nduu za kizungu.... ivi umekula elimu wewe?