Wachambuzi bora watano wa soka nchini

Kama unataka maneno ya kiingereza Sprint, penetration pasi, long ball na mengine mengi nenda kwa kashasha
 
Kashasha ni kocha kabisa kitaaluma na ndio maana hata uchambuzi wake ni kama mtu anaefundisha
 
Kati ya wooote hao no1 ni dr no2 manara waliobakia wooote ni wachumia tumbo
 
Hapo Wachambuzi Ni Wawili Tu Dr. Leakey Abdallah Na Haji Manara Waliobaki Ni Waganga Njaa Tu Na Watangazaji Wa Kisanii Tupu.

Na sapi mkwawa mnamuacha wapi muasisi wa uchambuzi.
 
dr leaky,tena huyu atumiwe watu awe anatupa timu tano za uhakika tumle muhindi.
 
shAfii ni mchambuzi au majungu tu? hicho kipindi chao hua nackia majungu tu akula mchambuzi pale.
Dr Rick mwanzo mwisho
 
haji manara dr leaky jeff leya edo kumwembe na shaffii dauda

Dauda si mchambuzi, ni mtu wa majungu na kulalamika tu, wale madogo wa clouds sports bar wanampiga bao! Hata yule dada mtangazaji anayekuwaga anawaongoza na macho yake anampiga bao! Shaffih huwa analalamika na kulaumu tu bila kusahau kukopi pesti maelezo ya kutoka kwenye mitandao ya sports.
 
Kinachonifanya namba 1 nimpe Shafi Dauda yuko deep sana ao wengine naona wanapita tu juujuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…