Wachambuzi msaada hivi katika mechi kama akisifiwa beki na kipa inamaana gani kimpira?

Peramiho yetu

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2018
Posts
5,303
Reaction score
14,983
Mm sio mjuzi wa mpira Wala sijui uchambuzi lakn napata mgagasiko pale naposikia beki fulan au kipa fulan kaupiga mwingi hi ina maana gani?

Kwa akil zangu za std 2B chin ya usimamiz wa mwalimu NGAPONDA MPITIMBI PRIMARY SCHOOL naona Kama hyo timu imezidiwa maana mpira unafika kwao mara kwa Mara.

MSAADA tutani wa kueleweshwa.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Iko wazi makolo walizidiwa. Mtanange ulivyoisha walilipuka kwa furaha ya hali ya juu.
 
Wachambuzi wa simba kina shaffi na mayai wanawasifia simba bila kujua yanga ni bora kuliko simba

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Huyo Mayai ni Simba au Yanga??..
Amechezea Yanga ila Sina hakika Kama Yanga imo moyoni mwake...
Mcheki Kama utamuona akivaa sare za Yanga kipindi hiki...nilimuona siku ya Mwananchi ...wenzake wote wako kwenye sare za Wananchi yeye dah?!
 
Mkuu niuzie iyo Tecno F1 uwa zinatunza sana chaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…